Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
.ExternalClass .ecxhmmessage P{padding:0px;}.ExternalClass body.ecxhmmessage{font-size:10pt;font-family:Verdana;} .ExternalClass .ecxhmmessage P{padding:0px;}.ExternalClass...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Obama alivyokuwa kwenye kampeni, alikuwa na kundi lake, pia M/S Clintoni alikuwa na kundi. Democratic walivunja makundi na wakaungana kupambana na Republican. Hata baada ya Obama kuchaguliwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kwenu wadau jamii ya JF. Katika report ya jopo la watafiti wa umoja wa mataifa kuhusu biashara ya silaha na waasi walioko DRC wanaojulikana kama FDLR, kuna mtu kwa upande wa Tanzania ametajwa...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
happy birthday mabangi, naona umezaliwa siku moja na taifa letu...hongera sana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani naomba kuuliza..wenzetu ambao hujifunza kuendesha gari,utakuta alama ya (L) imebandikwa kwenye gari ikiwa na maana ya lena! sasa tukija kwa wale wanaojifunza kuendesha ndege,meli au...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
wajameni nafungua hii pg aifunguki naomba mwenye maelezo kunani
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jameni, mkuu wa kaya JK anasema safari zake za nje hazina mbadala? je ni kweli kuwa bila hizi safari za nje Tanzania kama taifa haliwezi kuendelea? je ni kweli kama taifa tunafaidika na hizi...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
unajifanya brazameni,tozi,bishoo halafu hela za starehe unaomba! aaakh! acha izo bana! .tafta kazi ufanye, acha kuturogea mitaji yetu.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani nimeeenda kuibua fitna sehemu na wazungu sasa kadri muda unavyozidi kwenda jamaa wana zero in na najua itafika muda ntakuwa siwezi kupumua hivyo nimeomba recess ili niite mamluki na...
0 Reactions
6 Replies
4K Views
Tamko hili kurugenzi ya mambo ya Nje tulilitoa jana, maudhui yake bado yanastahili kujadiliwa katika muktadha wa Kauli za jana hiyo hiyo zilizotolewa na Profesa Lipumba na IGP Mwema kuhusu suala...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Tangazo linalorushwa katika runinga, hasa TBC1 silipendi kabisa. Hivi hii dhana ya wanawake kujiona kama wananyimwa haki inatoka wapi? Nionavyo mimi, kuna baadhi ya wanawake ambao wanashindwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari za kuaminika na lizozipata kutoka Kyela! jana kuanzia majira ya saa mbili usiku kumetokea mfurulizo wa temeko la ardhi na kuwasababishia wasiwasi mkubwa wakazi hao! hivi punde baadhi ya...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Sijui kama wenzagu huwa mnakumbuka hizi enzi? au kwa kuwa tulishapita huko basi imetoka...Lakini katika mambo ya zamani nikumbukayo ni siku ya kwanza nilipoanza darasa la kwanza shule ya msingi...
0 Reactions
17 Replies
20K Views
Wakuu sijui kama mlishazungumzia hili, hivi JF premium member haina kikomo? Je hamuoni ni bora kuhamasisha kwa kuweka time limits? mimi najitolea kwa member watano watakaotoa mchango JF...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wana jf(G.T).Hili swali la bandari limeniumiza sana kichwa, lakini bado sijapata jibu sahihi, nimewauliza watu wengi sana, wengine wameniambia Ilala wengine wameniambia Temeke, naomba...
0 Reactions
7 Replies
8K Views
Nilipokuwa nasoma habari mbalimbali GPL, nikakutana na mstari wenye utata kidogo!! Sijui hawa waandishi nao wana kopi na kupesti? Nanukuu.... "Jaji Kimaro na jopo lake akiahirisha kesi hiyo...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wakuu, kuna maswali huwa najiuliza lakini nakosa majibu!!. ni jinsi gani serikali ya awamu ya 4 ina practise utawala bora? na je ni zipi faida na hasara za utawala bora ambazo hadi leo hii...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Usiku wa kuamkia leo - Jumatatu - (saa tatu na robo hivi) nilifungua Radio Station moja ya Kiislamu hapa Tanzania na kusikiliza mahubiri yaliyonisikitisha sana. Mhubiri/mwalimu (sheikh mmoja au...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hapa pana moshi baada ya kinguge wa tanesco kutangaza kujiondoa na nafasi ya kingunge wa dawasco imetangazwa kimya kimya kuna nini kwenye haya makampuni makubwa ;;?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
mama wa mirembe aja na mpya MWENYEKITI wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Sophia Simba, amevijia juu vyombo vya habari akidai kwamba vinatumiwa vibaya kumchonganisha yeye na wana CCM wenzake ili...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom