Napenda kuuliza! Tanzania kuna magari mangapi?
haya mabilioni wanayokusanya FIRE, kwa kutulazimisha tukate stika ni ya nini?
kama ufisadi ushaonekana kwenye ukusanyaji, je baadae itakuaje...
Afariki Baada ya kutoa fedha ATM Mashine
Tuesday, November 17, 2009 10:35 AM
MWANAUME mmoja aliyefahamika kwa jina la Chacha W mwenye umri wa miaka 35 amefariki dunia ghafla mara baada ya...
MWINJILISTI wa Kanisa la Evangelism Assemblies of God Tanzania (EAGT) lililopo Majengo mkoani Arusha, Fanuely Sanaki (27) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada kutaka kujiua kwa kutumia kamba...
Nimeanza kumtamani Lukuvi
PDIDY
SIKUPATA kufikiri hata siku moja kuwa, William Lukuvi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, anaweza kukifikilisha kichwa changu kiasi cha kupoteza muda wangu...
Ambwagia mtoto kwa kutopewa fedha za matumizi
Tuesday, November 17, 2009 10:23 AM
MWANAMKE mmoja aliyetambulika kwa jina la Mwanahamisi Shomari [25], mkazi wa Temeke Sandari, anashikiliwa na...
Biashara na mashetani hadi lini?
KWA sasa nchi imo kwenye mgawo wa umeme kwa mara nyingine tena katika sehemu zote zinazopata nishati hiyo kutoka kwenye gridi ya taifa. Hili ni tatizo...
Mheshimiwa rais, hatudanganyiki tena!
Samson Mwigamba
MHESHIMIWA Rais wa Jamhuri ya wa Wadanyanyika, salaam! Awali ya yote naomba uniwie radhi kwa kutoanza na kile kifupisho cha Dk cha...
Serikali iwe makini na mkataba wa ATCL

HATUA za kunusuru uhai wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) zinaendelea kushika kasi, huku serikali ikiwa imeshampata mwekezaji wa kutoka China...
Date::11/17/2009Panga la Kikwete kwa mawaziri lamkalia vibaya Waziri Mkuu PindaWaziri Mkuu Pinda, panga la Kikwete linamkalia vibaya kutokana na umri wake.Leon Bahati na Salim Said
KAMA Rais...
mmmmmmhhhh
aaa jamani mi nimechoka na story za hawa mafisadi...hivi sasa tuangalie jinsi gani tutakamata mali zao sisi kama watanzania tugawane haki yetu...kila thread naona kinachoendelea ni...
You guys, some of you may have already come across this, if not, just check this out. This is actually really freaky!!
Mainly the end part, but read it first
1) New York City has 11 letters
2)...
Hii tabia ya kuhudhuria hafla zilizoandaliwa na mafisadi. Huu utamaduni wa kuwasiliana na mafisadi. Hizo hulka za kuchekacheka na mafisadi. Huo utaratibu wa kupiga picha na mafisadi. Hayo...
Kabla Ya Upasuaji
Baada Ya Upasuaji
Wasichana hao wenye umri wa karibu miaka mitatu walikuwa wameungana kichwani na walikuwa wakitumia ubongo mmoja.
Trishna na Krishna walizaliwa...
Nimepokea sms kwenye simu yangu ya mkononi ikiwa na ujumbe huu na nimeona ni vizuri niwashirikishe harakati hizi zinazoendeshwa na undisclosed sources.
"Nzi na nyuki hufa kwa kulazimisha kupenya...
Serikali imepiga marufuku na kusitisha shughuli zote zilizokuwa zikifanywa na ile taasisi ya kutafutia watu viwanja mkoani Pwani na Dar.
Imegundulika kuwa ilikuwa ni ya kitapeli!
Na Mwandishi Wetu
RAIS Jakaya Mrisho Kikwete ameahidi kuwa kama akijaliwa kupata kipindi cha pili cha kuliongoza taifa la Tanzania, atafanya jitihada kubwa kuubadilisha uongozi wa Tanzania kuwa...
Hi wana-JF?
Ninaomba ushauri wa jinsi ya kuibua au kuandaa project. Kwa sasa niko nje ya nchi, ila najipanga kuja kufanya chochote kwa nchi yangu. Kwa hiyo naomba idea ya kwamba ni jinc gani ya...
Kumekuwa na kawaida ya baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Dodoma siku za mwisho wa juma kufika katika mabwawa ya majitaka yaliyoko maeneo ya Swaswa (wengine wakiwa wamekodisha tax) kwa ajili ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.