Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Napenda kuuliza! Tanzania kuna magari mangapi? haya mabilioni wanayokusanya FIRE, kwa kutulazimisha tukate stika ni ya nini? kama ufisadi ushaonekana kwenye ukusanyaji, je baadae itakuaje...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
i feel so much pain to poor african child when i look at this...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Afariki Baada ya kutoa fedha ATM Mashine Tuesday, November 17, 2009 10:35 AM MWANAUME mmoja aliyefahamika kwa jina la Chacha W mwenye umri wa miaka 35 amefariki dunia ghafla mara baada ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
MWINJILISTI wa Kanisa la Evangelism Assemblies of God Tanzania (EAGT) lililopo Majengo mkoani Arusha, Fanuely Sanaki (27) anashikiliwa na Jeshi la Polisi baada kutaka kujiua kwa kutumia kamba...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Nimeanza kumtamani Lukuvi PDIDY SIKUPATA kufikiri hata siku moja kuwa, William Lukuvi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, anaweza kukifikilisha kichwa changu kiasi cha kupoteza muda wangu...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ambwagia mtoto kwa kutopewa fedha za matumizi Tuesday, November 17, 2009 10:23 AM MWANAMKE mmoja aliyetambulika kwa jina la Mwanahamisi Shomari [25], mkazi wa Temeke Sandari, anashikiliwa na...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Biashara na mashetani hadi lini? KWA sasa nchi imo kwenye mgawo wa umeme kwa mara nyingine tena katika sehemu zote zinazopata nishati hiyo kutoka kwenye gridi ya taifa. Hili ni tatizo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mheshimiwa rais, hatudanganyiki tena! Samson Mwigamba MHESHIMIWA Rais wa Jamhuri ya wa Wadanyanyika, salaam! Awali ya yote naomba uniwie radhi kwa kutoanza na kile kifupisho cha ‘Dk’ cha...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Serikali iwe makini na mkataba wa ATCL
 HATUA za kunusuru uhai wa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) zinaendelea kushika kasi, huku serikali ikiwa imeshampata mwekezaji wa kutoka China...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Date::11/17/2009Panga la Kikwete kwa mawaziri lamkalia vibaya Waziri Mkuu PindaWaziri Mkuu Pinda, panga la Kikwete linamkalia vibaya kutokana na umri wake.Leon Bahati na Salim Said KAMA Rais...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
mmmmmmhhhh aaa jamani mi nimechoka na story za hawa mafisadi...hivi sasa tuangalie jinsi gani tutakamata mali zao sisi kama watanzania tugawane haki yetu...kila thread naona kinachoendelea ni...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
You guys, some of you may have already come across this, if not, just check this out. This is actually really freaky!! Mainly the end part, but read it first 1) New York City has 11 letters 2)...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hii tabia ya kuhudhuria hafla zilizoandaliwa na mafisadi. Huu utamaduni wa kuwasiliana na mafisadi. Hizo hulka za kuchekacheka na mafisadi. Huo utaratibu wa kupiga picha na mafisadi. Hayo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kabla Ya Upasuaji Baada Ya Upasuaji Wasichana hao wenye umri wa karibu miaka mitatu walikuwa wameungana kichwani na walikuwa wakitumia ubongo mmoja. Trishna na Krishna walizaliwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimepokea sms kwenye simu yangu ya mkononi ikiwa na ujumbe huu na nimeona ni vizuri niwashirikishe harakati hizi zinazoendeshwa na undisclosed sources. "Nzi na nyuki hufa kwa kulazimisha kupenya...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Serikali imepiga marufuku na kusitisha shughuli zote zilizokuwa zikifanywa na ile taasisi ya kutafutia watu viwanja mkoani Pwani na Dar. Imegundulika kuwa ilikuwa ni ya kitapeli!
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Kwa yeyote anayetaka kujiunga ktk shauri la kudai mbegu mahakamani awasiliane na wawakilishi wafuatao; Mabibo; Mr Sansom Kazimoto 0756 403850 Kinondoni; Mrs Prisca Makaya 0754 264429 Tegeta...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Na Mwandishi Wetu RAIS Jakaya Mrisho Kikwete ameahidi kuwa kama akijaliwa kupata kipindi cha pili cha kuliongoza taifa la Tanzania, atafanya jitihada kubwa kuubadilisha uongozi wa Tanzania kuwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hi wana-JF? Ninaomba ushauri wa jinsi ya kuibua au kuandaa project. Kwa sasa niko nje ya nchi, ila najipanga kuja kufanya chochote kwa nchi yangu. Kwa hiyo naomba idea ya kwamba ni jinc gani ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kumekuwa na kawaida ya baadhi ya wakazi wa Mkoa wa Dodoma siku za mwisho wa juma kufika katika mabwawa ya majitaka yaliyoko maeneo ya Swaswa (wengine wakiwa wamekodisha tax) kwa ajili ya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom