Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
  • Closed
Nimepitia kesi za zilizokuwa posted na CPS domestic nimeona kumbe huyu bwana alishitakiwa na mfanyakazi wake wa ndani walipokuwa UK... sasa kapata cheo kikubwa lakini je hii haiwezi kuharibia...
0 Reactions
147 Replies
11K Views
Jamani naomba tusaidiane, nimepata tetesi kuwa biashara ya usafirishaji kwa njia ya pikipiki itapigwa marufuku eti kwa sababu ya matukio ya mauwaji ya waendeshaji wake. Kama ni kweli naomba kuhoji...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Rioting Congo prisoners rape 20 women Tue Jun 23, 5:32 am ET KINSHASA (Reuters) – Rioting inmates raped around 20 female prisoners during a failed prison break in Democratic Republic of...
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Photo: Ôîòî@Mail.Ru: âàø öèôðîâîé ôîòîàðõèâ! Traffic inspector punishes ex wife with 28 fines 19 Jun, 01:55 PM The Prosecutor General's Office of Vladivostok, Russia's largest port city on...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kenyans to sue for uprising 'abuse' A group of Kenyans who claim they were tortured and unlawfully imprisoned by the British Government during an uprising against colonialist rule are...
0 Reactions
0 Replies
843 Views
WASHINGTON – President Barack Obama is set to sign into law an anti-smoking bill that will give the Food and Drug Administration unprecedented authority to regulate tobacco. Obama is scheduled...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Hapa naona channel ten on monday. Wadau mtuambie huyu jamaa imekuwaje. Kipindi chake ndo basi?
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Matokeo ya maamuzi ya fisadi Mkapa na Netgroup na KCM, IPTL, RIchmond, Songa na ufisadi mwingine ndiyo haya Umeme kupanda kwa asilimia 200 2008-03-20 08:39:53 Na Joseph Mwendapole...
0 Reactions
20 Replies
5K Views
Hawa jamaa wanajiita 'events organisers'. Leo kulikua na siku ya mtoto wa afrika. Shule 4 zilishiriki pale cine club, zikiwemo bahari beach, saint florance, lincoln na saint valentine. Kila mtoto...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ni siku ya pili sasa nimeshindwa kununua umeme, network imeleta matatizo. Na ippmedia.com wana habari kuwa kuna virus isiyojulikana imeingia kwenye compyuta zao, mwenye habari kamili atujulishe...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna vitu viwili ambavyo vinanikera sana hapa Dar,moja ni watu wanavyo gombania kuingia kwenye daladala badala ya kupanga foleni na kuingia kistaarabu bila kukanyagana na kuumizana.Mara nyingine...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nawatakia siku njema. Tuendeleze libeneke la JF - Where We Dare to Talk Openly!.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
James Magai HAKIMU Mfawidhi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, Addy Lyamuya, amesema miongoni mwa kesi ambazo hatazisahau katika maisha yake, ni pamoja na Babu Seya na ya...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Ningependa sana kuelewa kama mwaka huu mtaandaa tena Bash kama la mwaka jana! (oldschool).. Najua fika kwamba mwaka jana mlituangusha lakini bila shaka mwaka huu mtajiandaa vizuri zaidi...Pengine...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wengi wanasema wanachafua mazingira, kwanza kwa nguo chafuchafu wanazojivika,pili kwa kutupa ovyo masalio mbalimbali kama ya vyakula, 'makopo',mabox n.k Wapo wanaowaangalia kama wavivu wanaokimbia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Na Jackson Odoyo SHIRIKA la kimataifa la kuhudumia wakimbizi nchini (UNHCR) linajiandaa kufunga ofisi zake nchini baada ya wakimbizi wote kuondoka katika kambi za kuhifadhi wakimbizi. Shirika...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Nilikuwa namsaidia dada mmoja kutafuta ufumbuzi wa tatizo hili nikakuta maelezo binafsi Nimehisi niweke hapa na wengine tuelimike na tuwaelimishe ndugu na jamaa mitaani pia zimewekwa video kwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
PETA wishes Obama hadn't swatted that fly Thu Jun 18, 7:28 am ET WASHINGTON – The group People for the Ethical Treatment of Animals wants the flyswatter in chief to try taking a more humane...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi ni mmojawapo wa wapenzi wa kipindi kinachorushwa na Channel 10 kila Jumanne: Je, tutafika? Kipindi hiki huwa kina mada nzuri ingawa mara nyingi ‘animator' anakiharibu, hasa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Taasisi za Dini zinapinga kuondolewa kwa msamaha wa kodi kwao wakati Shule zao na vyuo vikuu vyao vinatoza gharama kubwa.Je ni haki kuwaondolea msamaha wa kodi kama hawapunguzi gharama za huduma...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Back
Top Bottom