Habari zilizotufikia hivi punde zinaeleza kwamba wamiliki wa gazeti la MwanaHalisi, Hali Halisi Publishers Limited, wamefanikiwa kumzuia Rostam Aziz kutekeleza hukumu iliyowataka wamlipe...
Death in Birth
By DENISE GRADY
Fragile Tanzanian Orphans Get Help After Mothers Die
By DENISE GRADY
BEREGA, Tanzania The Berega Orphanage, a cluster of neat stucco cottages...
Wana jm nina rafiki yangu mtoto wake kamaliza kidato cha sita na matokeo ni hivi "Kiswa.C .Geogr.F.na Hist,D Je? anaweza kupata Chuo kikuu nje ya nchi?wapi ni rahisi na asome kitu gani ambacho...
Kama ilivyotabiriwa na wengi, baada ya Dr Kitua Andrew kustaafu ukurungenzi mkuu wa National Institute of Medical Research, NIMR Dr Mboera alikuwa akikaimu nafasi hiyo, lakini naona board ya NIMR...
Kwenye ippmedia kuna habari kuwa Masha amesema vitambulisho vya taifa vitaonyesha Nationality but not Citizenship. Kwa kuangalia kamusi yangu inaelekea hakuna tofauti kati ya vitu hivyo, naomba...
Nyumba hiyo iwe ya kisasa yenye uzio, maji na umeme. Iwe na vyumba visivyopunguwa vitatu vya kulala na angalau kimoja wapo kiwe ni "Self contained"
Iwe na kiwanja kikubwa na sehemu ya kuweza...
Hi Team na watanzania wengine kwa ujumla,
nini maana neno nililolisema hapo juu. na kwenye katiba ni wapi limeandikwa na sheria inalitafsiri vipi. Kwa maana kila Wabunge...
Sina uhakika kama kuna thread hii tayari, lakini nilikuwa nawaza; Kwa nini Tanzania tunashindwa kupiga hatua za maendeleo?
Moja ya jibu nililoweza kupata ni serikali kutofadhili wasomi. Mara...
Ni kawaida kabisa hapa Tanzania kukuta watu wameajiriwa/teuliwa kwa kazi ambazo hawajazisomea eti kwamba watapata uzoefu kazini,Mfano wakurugenzi wa Taasisi za umma hata za binafsi.Daktari wa...
WHERE WERE YOU, WHEN BROTHERS USED TO WRITE LETTERS WITH DICTIONARIES
If you never received letters like these, you know nothing
Classic...
Dear Sugar
Time and ability plus double...
Weekend hii nilikuwa Arusha, nilishangaa sana baada ya kuona maua yanapandwa sehemu za parking ya magari along sokoine au auhuru road.
Nilishangaa kwa sababu ukiangalia ufinyu wa sehemu ya...
Tanzania: Example Of What The Third World Should Not Do
David Storobin, Esq. -
For many years, Tanzania received more per capita aid from the World Bank than any other country in the world. [1]...
A worried woman went to her gynecologist and said:
"Doctor, I have a serious problem and desperately need your help! My baby is not even 1 yr. old and I'm pregnant again. I don't want kids so...
Jumatatu, 22 Juni 2009
Mgodi wa Tulawaka kufungwa
na Mobini Sarya
KAMPUNI ya Barrick ambayo inaongoza kwa kumiliki migodi kadhaa ya madini nchini imetangaza kufunga mgodi wa dhahabu wa...
Kwa muda mfupi nilioshiriki hapa JF, nimeona kama hapa ni pazuri kuliko kwenye FACEBOOK.
Hapa JF, mada huchambuliwa kwa umakini mkubwa.
Taarifa muhimu hupatikana kwa haraka sana.
Members...
Do not think of what you do not have,
Instead, appreciate what you have and can still have.
Do not think of things lost,
Instead, value what you still have and may yet find.
Do not cry over...
Miaouch! Amazing pictures of cat that spent a WEEK with crossbow bolt through its body
By Daily Mail Reporter
Last updated at 9:08 PM on 23rd June 2009
Comments (28)
Add to My...
The Zanzibar government is negotiating with a power generation firm based in Israel, to produce electricity from sea waves.
Isles Water, Construction and Lands, Tafana Kassim Mzee said this at...
Na Felix Mwagara
WAKALA wa Serikali wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (Rita), katika kupambana na udanganyifu wa vyeti vya kuzaliwa nchini umeanza kutoa vyeti vipya vya kuzaliwa vyenye alama...
Nimeikuta hii kwenye blog ya Dina wa Clouds FM.
Kama hali hii ni kweli si tutajikuta miaka ijayo tunalo Taifa la mashoga?! Jamani tuwe makini
WAZAZI JAMANI ANGALIENI WATOTO, ONGEENI NA WATOTO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.