Jumatano iliyopita tarehe 3 June nilinunua kama kawaida yangu gazeti la Mwanahalisi nilichokutana nacho kwenye page ya Katuni sikuamini macho yangu manake nilihisi labda ze utamu wameanzisha...
Nadhani hii kwa wenzangu waliomaliza/wanaomaliza vyuo/elimu katika uchumi huu ingetufaa kidogo
YouTube - Obama at ASU: Commencement Speech with intro by Michael Crow
Wasalaam,
Kidogo ningependa kupata msaada katika hili. Kumekuwa na tetesi na hata mara nyingine ushahidi wa waziwazi au wa kimazingira juu ya kuwepo uhusiano wa kimapenzi kati ya waandishi wa...
Tahadhari!
Unapokwenda kwenye hii site ya akina UWAZI kuwa mwangalifu kidogo na haklikisha computer yako ina ulinzi wa kutosha. Hasa kwenye ile section ya 'HABARI katika picha'
Katika pita pita zangu kwenye mitandao ya Watanzania sijaona wakiitangaza Tanzania kitalii au kuonesha rasilimali zetu tulizo nadho, zaidi ya kuzungumzia siasa zaidi na mambo mengine.kwa wenzetu...
2009-06-08 07:36:00
Irate mob sets fire to MP's property
By Mussa Juma, Arusha
THE CITIZEN
Riotous villagers invaded an estate owned by Vunjo Member of Parliament Aloyce Kimaro in...
Raza: Kama fisadi ni fisadi, huo si ubaguzi wa rangi
Mwandishi Wetu Juni 3, 2009
Raia Mwema~Muungwana ni Vitendo
ALIYEWAHI kuwa mshauri wa masuala ya michezo wa Rais wa Zanzibar Dk...
Were these guys at Cisco showcasing a video conferencing product to our president and his delegation?[have a look below].
I guess they were saying "this is how you could have stayed at Magogoni...
Hivi karibuni nilikuwa naelekea Arusha kutoka Moshi nikapita mji mdogo wa Boma Ng'ombe ambao ni "highway town" nikashangazwa kupishana na bajaji kibao zilizobeba abiria zinakatiza barabara, jambo...
Wafanyakazi TTCL waisusia management.
Imeandikwa na Veronica Mheta; Tarehe: 7th June 2009 @ 08:16 Imesomwa na watu: 114; Jumla ya maoni: 0
Viongozi wa Chama cha Wafanyakazi wa Mtandao wa...
Wazalendo;
Asalaam Aleykhum.
Napenda kutoa tahadahri kwa watumiaje wa barabara ya Mandela wakati wa Usiku.
Siku ya Ijumaa iliyopita nilikuwa naendesha gari along Mandela Road nikiwa natokea...
Dada yangu amepoteza zaidi ya laki nane kupitia DECI ila haijaniuma kufikia ya huyu bibi maskini......_mamadeci.jpg (image)Eti kauza ndizi zake jamani visenti akawapa hawa mafisadi sasa ona kabaki...
Serikali yajitosa mgodi wa Mkapa
Na Mwandishi wetu
6th June 2009
Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja.
Rais mstaafu, Benjamin Mkapa.
Aliyekuwa Waziri wa Nishati na...
Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Makangaga na maeneo ya Wilaya ya Kilwa mkoani Lindi, juzi walipigwa na butwaa baada ya joka kubwa kutumbukia kaburini wakati mwili wa Mwanawetu Makokola ukiwa...
Tukiangalia kwa karibu sana tutagunduwa ya kuwa Rais ajae wa upende wa Zanzibar kwa kiti cha CCM atatokea pemba,imani yangu Rais Jk na Bunge litakuwa na msimamo mazubu wakati wakumpitisha kiongozi...
TEMBO kutoka Hifadhi ya Taifa ya Tsavo ya nchini Kenya wamevamia makazi ya wakazi wa Kata ya Mengwe na kusababisha nyumba kadhaa kubomolewa na Tembo hao Inasemekana Tembo zaidi ya 30 walivamia...
Bongo kuna vituko, hebu soma kilichombuka huyu mwenzetu!
Hi Team!
Hope you all fine. Jamani napenda kuwapa tahadhari wenzangu kutokana na kilichonipata Jana (sunday 31 May 2009). Ilikuwa...
Wadau Salaam! Nimeona picha ya Rais JK katika ukurasa wa mbele katika gazeti la Sauti ya watu Tanzania la leo tarehe 5 June 2009 akivunja chupa ya mvinyo kuashiria kuzindua kivuko kipya cha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.