I have had a number of opportunities (since I left Busanda) to meet with several officials in the government who have assured me that ITV will be shut down sometimes this week after Mr. Mengi has...
Jamani mmeshawahi kujiuliza ni kwa vipi naweza kuwa na vitu ninavyovihitaji tu badala ya kujaza kila aina ya unachoweza kuwa nacho nguo, viatu, vitabu, makaratasi, michezo ya watoto, vyombo vya...
Habari zilizochapishwa na gazeti la Tanzania Daima la leo (Jumatano June 3 2009) zinaeleza kuwa Rais wa JMT ndugu Kikwete anatarajia kwenda Australia mnamo mwezi November au December...
Lukuvi akataa ripoti ya mabomu
Thursday, 04 June 2009 07:36
*Mengine 11 kulipuliwa tena Jumamosi
*Nyumba zote kurudishiwa zilimokuwa
Peter Masangwa na Salum Pazzy
Majira...
taarifa iliyotolewa na JWTZ kwa vyombo vya habari inasema mabomu 11 yatalipuliwa siku ya jumamosi tarehe 6 Juni, hivyo wakazi wa mbagala na vitongoji vyake wanaombwa kuwa watulivu na kuendelea na...
A distinguished young woman on a flight from USA to Dar es salaam, Tanzania asked the Priest beside her:
Woman: "Father, may I ask for a favor?"
Priest: "Of course. What may I do for you child?"...
Bw. Waziri Mkuu Pinda:
Dar imekithiri uchafu
MBAGALA imeshughulikiwa kwa kasi ya ajabu ijapokuwa bado kuna kizaazaa cha hapa na pale kule.Ni dhahiri kuwa Dar kama unapatikana utashi wa...
Wednesday June 03, 2009
The hear no evil, see no evil and speak no evil MPs
Adam Lusekelo, 3rd June 2009 @ 01:42
Looking at our honourable MPs perform before the cameras in...
Uzee nikitu kisichoepukika , kinatokana na mchanganyiko wa shughuli nyingi katika mwili zenye uwiano wa moja kwa moja na umri. Moyo wa mwanandamu ndio kiungo kikuu kinachotoa maelekezo kwa mwili...
Mkurugenzi mtendaji wa IPP Bw Reginald Mengi amewaponda Jeshi la Polisi, Takukuru, kamati ndogo ya usalama wa taifa kwa kumuhoji na kumwagiza apeleke ushadi juu ya mapapa aliowataja katika kituo...
Wafanyabiashara wahojiwa kwa magari ya wizi
Na Mwandishi wetu
27th May 2009
B-pepe
Chapa
Maoni
Magari 10 yanayosadikiwa kuibwa nchini Japan yanashikiliwa na polisi...
OBAMA IN SAUD ARABIA
President Obama leaves tonight for his third major international trip, stopping first in Riyadh, Saudi Arabia, a recently announced addition. From Riyadh, he will travel to...
Ni mara nyingi nimekuwa nakumbana na swali hili kutoka kwa wasichana . wewe ni kabila gani ?sasa hujiuliza hivi hadi leo hawa watu bado wanafikiria mambo ya ukabila tu ?
This follows a decision by the US Department of Homeland Security that the agency required more time to review these flights, a statement from the company said.
DAILY NATION- Delta cancels...
Na Sadick Mtulya
VIFAA na mashine kubwa tatu kwa ajili ya kupimia na kufanya utafiti wa magonjwa mbalimbali na mashine zingine ndogo ndogo zilizopo katika maabara maalum (SPL) ya kisasa kwenye...
Suala la UFISADI linatumiwa vibaya.
Kwa mawazo yangu, kila mtu ni FISADI kwa sehemu fulani.
Tatizo ni kwamba watu wengi wanauangalia ufisadi kwa viongozi wa ngazi za juu tu.
Kutokana kwa huu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.