huyu jamaa ni mkazi mwa Mbezi Beach eneo la Makonde Juu /Kipongoso anajulikana kwa jina la ALLuh
na Exuper Kachenje
WAKAZI wa maeneo ya Mwananyamala wilayani Kinondoni jana walimiminika katika...
Kuna taarifa kwamba Interpol wapo jijini dar kukagua Vogue, range sport, Benz ML, BMw-X5 na magari mengine mengi ya wizi toka Magharibi. Inasemekana Magari hayo yamepungua sana mjini na dereva tax...
What's Going On? Currently Active Users: 2219 (381 members and 1838 guests) Most users ever online was 2,881, 25th November 2008 at 05:38 PM.
Nimeangalia idadi ya watu walio online hapa JF sasa...
Wana JF, tusijisahaulishe!! Ikumbukwe kwamba Ufisadi kama ambavyo leo hii tunauita, ni hujuma iliyokomaa!!
Duniani kote, mafisadi wakubwa (grand corrupts) ndio hao hao wanaojihusisha na biashara...
Haya mahoteli makubwa na yenye hadhi unayoijua wewe, si chochote wandugu wapendwa, ni rangi na mandhari ya nje tu ndio inayotupa uthubutu na kiburi cha kuingia na kuagiza chakula.
Kiuhalisia, ni...
From Times Online
May 21, 2009
Bank blunder makes couple accidental millionnaires
Anne Barrowclough in Sydney
A New Zealand couple whose bank mistakenly paid...
Nimeona hii picha nikajiuliza maswali mengi sana mojawapo likiwa, je hii nayo ni shule? Hii ndio hali halisi ya majengo ya shule ktk baadhi ya maeneno ya vijijini ndani ya Tanzania.
Je kweli...
Kama dakika 5 hivi zilizopita imetokea ajali iliyohusisha gari la kusambaza bia la TBL maeneo ya mnazi mmoja Dsm. Ajali hiyo imetokea katika makutano ya barabara ya bibi titi na uhuru ambapo gari...
An al-Qaeda suspect is to become the first Guantanamo inmate to stand trial in a US civilian court, reports say.
Ahmed Ghailani will be sent to New York to face charges over the 1998 US embassy...
Mahakama yasimamisha uuzaji samaki wa Magufuli
Na Mwandishi wetu
Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi, John Pombe Magufuli.
Mahakama ya Hakimu Mkazi ya Kisutu, jijini...
Wnanajamii, Salamu!
Napenda tujadili jambo ambalo kwa muda mrefu nimelitafakari. Kuna kipindi fulani, na hata sasa vijana wengi wa viwango tofauti tofauti vya elimu walikuwa na homa kubwa sana ya...
DCP tycoons snubbed Bunge probe committee
-Said No to summons in identical letters sent to the Clerk of the National Assembly
-Committee also noted how some government officials embraced...
Muda wa saa nane na nusu mchana nimeletewa taarifa na rafiki yangu kwamba kasikia kutoka radio kwamba: Habari mpya mpya (Breaking News): Kiwanda cha Nondo cha Mikocheni kinawaka moto. Nimesituka...
Whether online or through physically attending his classes, you might have seen Hans Rosling presenting stunning stats, educating some of us via TED conferences. Why you should listen to him...
TODAY'S SCRIPTURE
"Even when there was no reason for hope, Abraham kept hoping-believing that he would become the father of many nations…"
(Romans 4:18, NLT).
TODAY'S WORD
Are you...
Nimefungua inbox yangu na nikakuta hii email. Baada ya hapo ilipelekwa moja kwa moja kwenye spam bin. Kama ukipata kama hii, tafadhali fanya hivyo hivyo:
Hello dear new friend.
Glad that I'm just...
Tumeusema sana Utawala wa Kikwete. Hauna dalili yoyote ya kubadilika. Sasa ni time for action. Hatutaki kusubiri 2010. Wengi wanasupport maandamano yetu Kuupinga Utawala wa Kikwete kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.