Vinyago vya kuchonga vimekuwapo tangu zama za historia na vimechukuliwa kama utamaduni wa nchi nyingi za Bara hili la Afrika, ikiwemo Tanzania.
Tanzania imejijengea sifa kubwa ya kuwa na...
Labda ni kwa mtizamo wangu tu, lakini thread zilizoongoza JF leo ni zile zilizoko kwenye Mahusiano na mapenzi.
Kila corner,, miti shamba kwenye mapenzi,,, niguse hapa,,,,,kama hivi kama vile...
Yap! Ni kama kawaida Sikukuu hiyo inapita, lakini haipiti bila vioja na vituko vya hapa na pale. Ni kama saa mbili hivi usiku najirudia nyumbani. Mara kwa mbele naona watu wanabishana, natamani...
Wiki iliyopita nilitembelea mgahawa wa Steers Millenium Towers hapa Dar na kukuta Fridge kubwa ya Pepsi inayojiendesha yenyewe yaani Vending Machine Definition yake...A vending machine provides...
Wanabodi,
Nimesoma kwenye gazeti la Habarileo kama sikosei... March, 26 Rais anatarajiwa kuzindua Tanzania Broadcasting Corporation - TBC.
Mabadilio yafuatayo:- Yanakuja.
TVT
Itakuwa na...
Mwanamama mmoja wa Florida kawanasa wezi kwenye webcam yake live wakiwa wanapora nyumbani kwake yeye akiwa akiwa kazini,kuna technoljia hivi sasa ambapo unaweza kuimonitor nyumba yako mahala...
From Commander, U.S. Naval Forces Central Command/5th Fleet Public Affairs
MANAMA, Bahrain (NNS) -- At approximately 7:19 p.m (12:19 p.m. EDT) April 12 U.S. naval forces rescued Capt. Richard...
Zanzibars academicians form NGO
Issa Yussuf in Zanzibar,
Zanzibars academicians living abroad and home have formed a research NGO dubbed Zanzibar Institute for Research and Public Policy...
So apparently we had no dignity before the white man who was enslaving and brutalizing us gave us his wondeful religion.
Tanzania: Christianity Taught Africans Dignity, Bishop Says
9 April...
Wadosi 3...Samily Hassan,Nuzalt Hassan,Hassan Hassan na Faidh Abdulasuri..wakazi wa Kijiji cha Ihamila Ihanga, Tarafa ya Rujewa, wilayani Mbarali wanashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kumuua...
Habari kutoka Monduri zinadai kuwa halimashauli ya wilaya imeidanganya kamati ya bunge kuhusu mapato na matumizi kwa mara ya pili. Uongo mmojawapo ni kuwa halmashauri hiyo ilitumia sh. 30 million...
Ndugu zangu, kuna nchi ukibadilisha hela (noti na sarafu) unapata kiwango kilekile kwa noti za 100, 50, 20, 10 au 1. Lakini hapa Tanzania naona tunaibiwa sana. Mfano, ukiwa na noti kadhaa (dolars...
Ni kicheko mfululizo kilichotokea kwa takriban miezi sita mfululizo kwa wakazi wa Kashasha mkoa wa sasa wa Kagera mwaka 1962. Kuna mtu yeyote aliyekuwapo huko 1962 na kuweza kuhakikisha...
Kikwete ametuacha njia panda
Na M. M. Mwanakijiji
MwanaHALISI~Maslahi ya Taifa Mbele
HOTUBA ya Rais Jakaya Kikwete aliyoitoa 1 Aprili 2009, haiwezi kupita bila kujadiliwa. Sababu zipo...
The Mbarara Massacre: Part 1
Dear fellow Ugandans and all readers,
please bear with our slow updates, due to some changes we are still reorganizing a few things so we can...
Kampuni ya Africa Media Group (Ltd) inayomiliki Kituo cha Televisheni cha Channel Ten na Radio Magic FM, imetangaza kuwa kuanzia sasa matangazo yake yataanza kupatikana kwa njia ya satelaiti ya...
Mnajimu na mtabiri maarufu Sheikh Yahya Hussein akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake jana mara baada ya kuwasili akitokea India alikoenda kwa matibabu. Ameamua kujitokeza baada ya...
Ni kawaida kabisa kukuta kichwa cha habari kikubwaa cha kuvutia tena kwenye gazeti lenye heshima la kitaifa KURASA YA MBELE kuashiria habri muhimu na jamii yote ipepesa macho na hata kuingia...
Rushwa yaombwa kumtoa rumande mchungaji
2009-03-08 11:37:55
Na Thobias Mwanakatwe, Mbeya
Sakata la Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste Evangelistic Church, Cosmas Mwasenga anayetuhumiwa kukutwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.