Wanachama wa CCM waguswa na sera za upinzani wa CUF,200 wachoma moto kadi za CCM
Na Kizitto Noya, Tandahimba
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Machano Khamis Ali, amegusa hisia...
Mh! Sikio la kufa halisikii dawa ni baada ya Miss Tanzanian2006, Wema Abraham Sepetu kuendeleza sakata la vihoja visivyokuwa na kichwa wala miguu na kuweza kufunguliwa mashitaka mengine tena...
Habari hii hapo chini ilichapishwa katika gazeti la Nipashe; je ni kweli kwamba Mafisadi wote ni Wanaume tu?, kwani yule Waziri wa Utalii kilichomliza pale Bungeni kilikuwa ni kitu gani?
Naibu...
1. Naibu Waziri anajionyesha alivyo mtupu kwa kuanzisha "gender war" isiyo lazima pahali ambapo angeweza kutumia nafasi hii kushughulikia maswala muhimu ya wanawake.
2.Anajionyesha kwamba...
Tanzania Foods and Drugs Administration(TFDA) ni shirika lililoundwa kisheria ili liweze kuwalinda wananchi dhidi ya madhara yanyoweza kuwapata kwa kutumia dawa na vyakula visivyo faa.Hata hivyo...
All but one of Zimbabwe's ministers from the former opposition has accepted an official Mercedes Benz.
When they were in opposition MDC politicians condemned the profligacy of Mr Mugabes...
A Michungwani resident, Said Malick, in Muheza, Tanga, was on March 26 shot dead by a police sergeant.
Apparently, Malick 'was not in sound mental health'. Read the whole story on the front...
Vibaka wamkata mapanga ofisa usalama wa taifa
Na Daniel Mjema,Moshi
VIBAKA wanazidi kuutikisa mji wa Moshi na safari hii wamevamia nyumbani kwa mkuu wa idara nyeti ya Usalama wa Taifa mkoani...
Wanasiasa wataendelea kunyanyasa waandishi wa habari mpaka lini?
Waandishi wapewa saa mbili kuihama Bukombe
Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Bukombe mkoani Shinyanga, imewakataza waandishi wa...
[COLOR="Blue"]Jana nilikuwa nasafiri kwa gari kutoka Posta kwenda Sinza. Nilipofika opposite na Mahakama ya Ndizi (baada ya Barabara inayoenda Mabibo) kushoto niliona watu wengi sana...
Japokuwa siku hii i.e tarehe moja April, ndo inaishia ishia nilifikiria itakuwa si vibaya tukijadiliana hapa ili kupanua uelewa wa siku hii ambayo inakuwa maarufu siku hadi siku, mwaka hadi mwaka...
this is Hart's list of 100 most influential people in the world's history!
the list draws controversy by placing Muhammad on top of Jesus and Moses,
what do you think?
click here;
Religion...
Wakuu,
Taarifa toka TFDA ni kuwa dawa aina ya Metakelfin inayotumiwa na wengi kwa ajili ya matibabu ya Malaria isitumike kuanzia sasa mpaka itakapotolewa taarifa nyingine. Hii ni baada ya...
Ni muda mrefu nimekuwa nikifuatilia Mfuko huu wa Utamaduni kama kweli unawafikia walengwa wa sekta ya Utamaduni.
Wale wanaoujua naomba wanimegee ni kwa kiasi gani unatufaa...
Ndege ya Precisionair iliyokuwa inaruka kutoka Kilimanjaro kuelekea Dar es salaam saa moja na nusu asubuhi leo, imelazimika kurudi KIA baada ya kuruka dakika 10, kwasababu za kiufundi ambapo...
Wizara ya Nishati na Madini pamoja na TANESCO wameshindwa kuzuia mgao wa umeme kama Rais alivyoahidi kuwa mgao wa umeme utakuwa historia.
Ni hivi karibuni tu imetolewa tishio la mgao wa umeme...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.