Watu muhimu katika maisha yako ni wale ambao wameamua kushea maisha na wewe hivyo uwajali sana
Unaweza kuishi maisha marefu au mafupi,ila jali sana ujana wako
Vitu ni vitu tu,usiwekeze sana sana...
Anayetajwa kuwa Afisa wa Jeshi la Polisi, Fatma Kigondo, amejikuta akihusishwa na tuhuma nzito za kuratibu tukio la ubakaji wa kundi na ulawiti wa binti anayeishi Yombo Dovya, Dar es Salaam...
IPO hivi ,Nina mshikaji wangu flan mwanangu sana , yeye amebahatika kufanya biashara tu yaani Toka ukinga akiwa mdogo sana yeye ni biashara tu .
Sasa kilichotokea wanavyodai alizama kishirikina...
Siku mbili nyuma Afghanistan emetangazwa na IMF kwamba imemaliza kulipa madeni yake yote ya kimataifa (international debts) na kujifanya kama nchi kua "debt free"
kumbuka Afghanistani imekua...
Shirika la Afya Duniani (WHO), limesema Maambukizi ya Surua yaliongezeka zaidi mwaka 2023 na kuathiri takriban Watu Milioni 10.3 ikiwa ni ongezeko la 20% kulinganisha na mwaka 2022.
Pia, Ripoti...
ELIMU NI UTI WA MGONGO
Wanaccm tunapojielimisha kwa hiari zetu Mambo mbalimbali ni wazi tunakuza UWEZO WETU KIFIKRA NA KIMITAZAMO.
Pia tunaitendea haki Katiba ya CCM 1977 toleo 2020 ambamo tuna...
ELIMU CHACHE TULIZO NAZO
TUZITUMIE KUWANUFAISHA WENGINE.
Wanaccm wenzangu Elimu ya kujua Mambo mbali mbali ni ya Muhimu katika maisha YETU ya kila siku pia na maisha yetu ya baadae TUTAKAPOIAGA...
ZINGATIA HAYA KUMLINDA MWANAO MTANDAONI
1. Mzazi/Mlezi ongea na mtoto kwa kumfundisha kuhusu matumizi sahihi ya kifaa cha kidigitali kama vile simu au kompyuta
2. Mzazi mpatie mtoto miongozo...
Siku hizi katika nchi hii kuna biashara ya kamari holela ambapo kuna watu husimika vimashine vidogo vya kamari katika mitaa ya wananchi. Mara nyingi utavikuta vinashine hivyo katika sehemu zenye...
Kuna jambo moja uwa linanishangaza tunaambiwa Tanzania sio nchi ya kidini
Pamoja na kuwa Mimi ni mkatoliki lakini Kuna maswali uwa najiuliza
Kwanini jumapili watoto hawaendi shule?
Kwanini...
Binafsi nachokiamini vita vya ideologia kamwe huwezi kushinda kwa Mabavu.., Hususan watu ambao wanaona kwamba wanaonewa na kunyanyaswa, kuwaondoa kwa mabavu na kuwauwa tena kwa waziwazi...
Hii sasa imekuwa kero kubwa kwa wateja wa wanaopata huduma katika Ofisi ya TANESCO Tukuyu.
Mwanzo huduma ya kubadili matumizi ya umeme kutoka matumizi makubwa kwenda madogo ilikuwa inatolewa...
Hii tabia ya Askari wa Barabarani especially Mkoa wa Dar es Salaam maeneo mengi likiwemo eneo la Kamata Kariakoo, Ilala Boma na maeneo mengineyo, kutafuta vijana machawa wa kukamata Bodaboda ambao...
Wabunge wameitaka Serikali kukokotoa upya bei ya umeme baada ya mradi wa kufua nishati hiyo wa Julius Nyerere (JNHPP) kukamilika ili kumpa nafuu Mtanzania.
Akiuliza swali la nyongeza bungeni leo...
Rishi Sunak pichani chini anategemewa kuwa Waziri Mkuu mpya wa Uingereza.
Sunak alizaliwa katika mji wa Southampton mnamo mwaka wa 1980.
Wazazi wake wana asili ya nchi ya india, walihamia...
Kwa siku za hivi karibuni mtandao wa Vodacom umekuwa ukisumbua sana Hali ambayo imepelekea usumbufu mkubwa sana kwa watumiaji wa mtandao huu.
Kumekuwa na Hali ya kukatika kwa network au kushindwa...
Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeelekeza Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuendelea kuweka teknolojia za ulinzi ili kuthibiti uhalifu kwenye mradi wa Reli ya SGR...
Nimefuatilia sana mdahalo wa wagombea wa Urais wa Tanganyika Law Society (TLS). Kati ya wagombea wa kiti hicho ninachukua nafasi hii kumpongeza Wakili msomi Mwabukusi kutokana na maswali...
Habari wanaJf,
Mwezi wa 6 mwaka Jana nilipata kazi NGO moja huko Kigoma as a purchasing officer, nikilipwa mshahara+ Bonus + madili nilikuwa naingiza average ya million 10 kwa mwezi.
Pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.