Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Kwa muda sasa kumekuwa na shutuma kuhusu hujuma inayohusu treni ya SGR, tukumbuke huko nyuma kuliwahi kutolewa wazo la kuruhusu watu binafsi waweke vichwa na mabehewa yao kwenye huo mradi, Wazo...
11 Reactions
70 Replies
3K Views
Wakili Peter Madeleka ambaye ni mwanasheria wa Juanna Chifunda amesema uharibifu uliofanyika kwenye fremu za maduka Mikocheni B ni uvamizi na wahusika watawawajibisha kwa mujibu wa sheria na...
2 Reactions
3 Replies
447 Views
Laika, mbwa wa kwanza kufika anga za juu za dunia. Mbwa huyu ndiye alikuwa kiumbe wa kwanza anayeishi kufika katika nzingo wa dunia, safari hiyo ikifanikishwa na chombo cha anga za juu cha...
1 Reactions
1 Replies
202 Views
Hivi karibuni serikali ya jamhuri ya muungano Wa Tanzania chini ya Rais Samia suluhu Hassan, karibu kila ofisini ya serikali kuna simu za Ofisi ambazo Mwananchi Akiwa na Jambo Akihitaji ufafanuzi...
1 Reactions
1 Replies
364 Views
NA. MWANDISHI WETU – BAKU, AZERBAIJAN. TANZANIA imeendelea kutolewa mfano wa kuwa na Kituo cha Taifa cha Operesheni na Mawasiliano ya Dharura (National Emergency Operation and Communication...
0 Reactions
2 Replies
174 Views
Kwema Wakuu ! Jana na leo nimebahatika kupita maeneo ya karibu na vituo vya Zahanati ya Manispaa ya Kinondoni. Jana nilipita karibu na kutuo cha Zahanati kata Makumbusho na Kituo cha Zahanati...
5 Reactions
32 Replies
931 Views
Tofauti ya Matoleo na Sadaka na Utoaji Wake Kumekuwa na mijadala mbalimbali kuhusu neno sadaka. Wapo wanaoita sadaka na wapo wanaotumia neno matoleo. Matoleo ni neno la ujumla, linalomaanisha...
1 Reactions
0 Replies
257 Views
Wakuu, umofia kwenu! Nimepata kazi kwenye Private - NGO ambayo take home ni 3Mil kwa mwezi. Nataka niache kazi Serikalini ninakolipwa laki 9 (Kabla ya Makato) kwa mwezi. Niko kada ya afya hapa...
31 Reactions
294 Replies
27K Views
Wanamuziki waliofungwa kwa kosa la kubaka watoto na kisha kusamehewa na rais Magufuli, Nguza Viking (Babu Seya) na Mwanaye Johnson Nguza (Papii Kocha) wamesema wanatarajia kurudi nchini kwao Kongo...
2 Reactions
77 Replies
10K Views
Habari ndugu zangu, namalizia malizia msiba soon nitarejea tena ukumbini tuendelee kuhabarishana na kuelimishana apa na pale🙏🏽 Shukran sana 🙏🏽 Kwa wale wote mlio kua pamoja NAMI katika kipindi...
1 Reactions
3 Replies
213 Views
Habari wadau ni utaratibu upi unatumika kuwapata Hawa watu( maafisa usalama katika ngazi mbalimbali) Naihitaji hii kazi kwa namna yoyote ile na najua nitaitendea kazi kisawasawa Mwenye kujua...
1 Reactions
11 Replies
610 Views
Kwa wakristo angalau watakuwa na kazi nyepesi kuliko waislam katika hili. Mungu ni Mungu wa binadamu wote. Ili umuelewe vizuri na umfaidi inabidi utoe uarabu na uzungu kwenye Biblia na Quran ndio...
4 Reactions
8 Replies
437 Views
Sativa alipotekwa, "alipelekwa" kwanza kituo cha Polisi Osterbay na kisha baadaye kupatikana "mikoani" Watekaji waliojaribu kumteka Deogratius Tarimo, walidai wao ni Askari kutoka Osterbay! Kwa...
6 Reactions
8 Replies
390 Views
Huyu binti anayejiita Catherine Kahabi ni nani? Ametoka wapi? Nimemuona mara kadhaa akiwa na Harrison Mwakyembe na anaonekana ni mtu mwenye jazba sana, anafoka na kutetema kwa fujo. Mpaka sasa...
5 Reactions
34 Replies
3K Views
Anonymous (38cd)
Wilaya ya Kasulu Vijijini, Kata ya Rungwe mpya, Vijana waliopewa jukumu la kufanya survey na wanaofunga Umeme wanatengeneza mazingira ya Rushwa Nilifanyiwa usajili wa Meter, taarifa zangu...
0 Reactions
1 Replies
310 Views
Anonymous (ff77)
Kumekuwa na ukiukwaji wa sheria za Mipango Mji katika mji mdogo wa Bomang'ombe Wilaya ya Hai, mkoa wa kilimanjaro. Baadhi ya watumishi wa Ofisi ya Mazingira wakishirikiana na ofisi ya biashara na...
0 Reactions
2 Replies
162 Views
Nikiangalia ratiba ya mazishi ya poti Mafuru, inaonyesha atazikiwa Dar. Kwa kumbukumbu zangu huyu ni mtu wa mkoa wa Mara huko, na kawaida ya watu wa Mara huwa hawazikiwi nje ya mkoa wao. Sasa...
3 Reactions
72 Replies
7K Views
naona ccm wilaya washampa mtu kipande hapo biafra kinondoni mtu awake yard Kiwanja ndiyo kinaondoka hivyo... hivi nyie serikali+ccm mnataka watu,watoto wakacheze na wakampumzike wapi maana maeneo...
4 Reactions
4 Replies
348 Views
📖Mhadhara (63)✍️ Nyumba za kupanga (hasa zile ambazo zina wapangaji wengi) zina kero mbalimbali. Hebu tiririka kero mojawapo kwenye nyumba za kupanga - Natiririsha baadhi ya kero. 🔘 KERO 1: Kuna...
9 Reactions
17 Replies
1K Views
Ndugu wanajamvi leo asubuhi ya tarehe 5 nikiwa nimesindikiza abiria wangu anaesafiri kwenda Dar kwa kutumia basi la Dar Lux toka Mwanza nimeshuhudia mabasi yote mawili yakiwa na kasoro ambazo...
18 Reactions
669 Replies
97K Views
Back
Top Bottom