Tuache ushabiki, tuache unafiki, tuache uchawa,tuache uchawa ni kipi cha maana au chenye tija ambacho kakifanya rais Samia tokea aingie madarakani?
Mimi naona hamna kitu kafanya hakuna jipya...
Mida ya saa 2 nikakatiza nyuma ya stend mpya ya Nyegezi inayomaliziwa kujengwa. Nilipokata kona ya pili nakutana na kundi la wanawake kadhaa wakiwa wameelekeza macho na masikio yao barabarani...
Nipo nawaza!!!
Nawaza kuwa muda huu kuna ukumbi mkubwa ambao umejaa watu wa MATAIFA MAKUBWA YALIYOENDELEA. Wameketi kikao, ni kikao cha kujadili MAENDELEO YA SAYANSI NA TEKNOLOJIA.
Nawaza kwamba...
Kijiji cha Ichinono nchini Japani, chenye wakazi chini ya 60, kimefurahia ujio wa mtoto wa kwanza baada ya miongo miwili, Kuranosuke Kato mwenye umri wa miaka miwili.
Hiki ni mojawapo ya vijiji...
Hapa mkoani Singida, Afisa Habari mmoja mwanaume anatuchezea michezo ya nyumba mbele. Waandishi wa Habari Mkoa wa Singida tunateswa sana na huyu Afisa Habari anayekata posho zetu juu kwa juu na...
Hiyo ni kauli ya Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa aliyoitoa siku ya Oktoba 26, 2024 alipokuwa Wilayani Mafia Mkoani Pwani katika ziara ya kikazi ambapo alimpigia simu Katibu Mkuu wa Wizara ya...
Imekuwa kawaida kwangu kutapeliwa pesa ninazobadili kuwa vocha, natuma kwenda Vodacom kutoka Tigo lakini upande wa Vodacom hazifiki. Huduma Kwa wateja Tigo wanadai wao wametimiza jukumu Lao kwa...
Kwanza nianze kusema Mimi sio mdau WA kula Sana kwenye migahawa siku hizi.
Ila kuna hii tabia naona imeota sugu hapa mjini watu hawajirekebishi.
Leo nimesikia njaa vibaya mno nikasema ngoja Nile...
Ndugu zangu Mtaani Kwetu mambo si Mambo hali Inatisha
Mwenzenu ilikuwa ndio Basi tena.
Kuanzia Mwanzo wa Mwezi huu Wa kumi nilianza Kujihisi Uchovu Usio na kipimo.
Nilianza Kusikia Viungo...
Wanasema vijana jitolee ili ionekane vijana wana ajira ila kiukweli hali mbaya kwenye angle ya ajira.
Hii ni propaganda. au mbinu za kitapeli ni kama mtego
watumishi wakitumia mbinu ya...
NOSTRADAMUS NA BABA VANGA WATABIRI MAANGAMIZI MWAKA 2025!
Watabiri wawili mashuhuri, Nostradamus na Baba Vanga, wametabiri vita vikali barani Ulaya kwa mwaka 2025.
Nostradamus alionya kuhusu...
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, na Mbunge wa Jimbo la Kikwajuni, Zanzibar, Mhandisi Hamad Masauni, amemtaka Kamanda wa Polisi Mjini Magharibi komesha kero ya wizi katika Shehia ya Kikwajuni...
Rushwa ya ngono ni matumizi mbaya ya madaraka ili kujinufaisha kingono visivyohalali au pasipokuwa na makubaliano ya pande zote mbili.
Kwa mujibu sheria ya kuzuia Rushwa na Uhujumi Uchumi...
Ni huzuni pia hili tukio ni linatufundisha kitu kwa wale mnaokula kula wake za watu na kuweka kambi kabisa huku mume halisi wa mke akiwa bado yupo.
Hili tukio limetokea siku ya jumapili huko...
Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote.
Direct, Jana katika pita pita zangu Instagram nikakutana na page jamaa anauza vifurushi bei chee sana, moyoni nikasema hapa hapa nitaokoa gharama...
Leo Mbunge Mwantumu wakati akitoa hoja yake Bungeni ameiomba serikali kusitisha kuhamasisha matumizi ya Pombe na tumbaku ( sigara).
Hoja yake ikajibiwa na Naibu Waziri wa Afya - Dkt.Godwin Mollel...
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson, ameibana serikali kuhusiana na suala la ajira kwa vijana wanaojitolea katika taasisi mbalimbali za umma. Akizungumza bungeni, leo Oktoba 29, 2024 Dkt. Tulia...
Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema Vijiji vyote 76 vya Jimbo la ya Newala Vijijini Mkoa wa Mtwara vimefikiwa na huduma ya umeme kwa umbali wa Kilometa 1.
Kapinga ameyasema hayo leo...
Mimi naanza na Sinza Kijiweni pale kwa Rasi na Tabata Sanene pale kituoni kwenye madereva taxi, vile viosk vyote pale biashara kubwa ni bangi ila wanakuwa wanazuga na kuuza pipi na vitu vidogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.