Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane
Nimelazimika kuja na ID mpya kwa sababu hii Ipo hivi, Nilimaliza Chuo 2019, nikaingia mtaani, nikasota sana kwa kutafuta mtaji kidogo, ujenzi, Supplier, kuvuka border na malori, yaani mishe...
27 Reactions
65 Replies
9K Views
Nasikitika sana kuona hii hali mtaani, yaani mtu ananishangaa kuona naweka vocha ya elfu kumi naweka bando la mwezi mzima😭😭, nimesikitika mno, tena sana. Hali ya maisha huku mtaani ni ngumu. Sasa...
19 Reactions
48 Replies
2K Views
Wakikutana watagombana sana maana kila mmoja ana mitazamo inayotofautiana sana. 1. Hamfrey Polepole wa katiba mpya na Hamfrey Polepole wa Magufuli. 2. Peter Msigwa wa CCM na Peter Msigwa wa...
4 Reactions
3 Replies
328 Views
Kuna kila dalili kwamba maandamano yatafanyika, lakini ni kwa ukubwa gani ni ngumu kutabiri. Kwa wiki nzima hii, kamata kamata imekuwa kubwa sana, hadi vibaka na wezi wameamua kuchukua likizo ya...
8 Reactions
29 Replies
916 Views
4:18 PM Mwili wa mtoto Rashmi Abdalah (5) ukiondolewa kwenye mashamba ya miwa wilayani Kilombero. Picha Happiness Mremi Kilombero. Mwili wa mtoto Rashmi Abdallah (5), mkazi wa Kijiji cha...
0 Reactions
5 Replies
409 Views
Mtu analipwa laki 8 kwa mwezi baada ya makato yote halafu anachukua mkopo wa milioni 10+ na anaanza kukatwa karibu laki 4 kwa miaka mitano. Hizi akili watu wanatoa wapi? Hela zenyewe hamna cha...
36 Reactions
120 Replies
10K Views
Ripoti ya Mtazamo Kuhusu Rushwa ya 2023 (CPI) imeonesha Rushwa na Ufisadi unazidi kushamiri ambapo Theluthi 2 ya Nchi zimepata alama chini ya ya 50 kati ya 100, hali inayodhihirisha kuwa bado zina...
1 Reactions
6 Replies
960 Views
WaAfrika sisi ni wajanja wajanja tu. Wamiliki wa Mgodi wa Shanta (WaChaga) ambao wana sites zao Singida, Mbeya na kwingineko wamekuwa miungu watu. Hawa jamaa wametuajiri bila kufuata taratibu za...
8 Reactions
25 Replies
2K Views
Pave Ayo Blog ni chanzo kinachopaswa kuondolewa mtandaoni kutokana na kueneza habari za kupotosha. Tovuti hii imejikita katika kutoa taarifa zisizo sahihi na za kupotosha, ambazo zinaweza...
1 Reactions
2 Replies
445 Views
Historia ya sahaba aliyosafishwa na malaika inahusiana na Hanzala ibn Abi Amir, mmoja wa masahaba wa Mtume Muhammad (SAW). Hanzala alijulikana kwa jina la "Ghasil al-Mala'ika," linalomaanisha...
3 Reactions
6 Replies
425 Views
Salaam wanajukwaa Hii mada itawahusu wapanda daladala watu ambao bado tunajitafuta (wenye magari yenu hatutaki ujuaji ) Unapo panda daladala mfano umekaa na mtu, alafu kondakta akaanza kuchukua...
26 Reactions
80 Replies
3K Views
HII NDIO MAANA YA KUSHAURI KWA VITENDO SANT'AGATA, Bolognese ni makao makuu ya supercars aina ya Lamborghini. Maranello, Modena, ndio HQ ya Ferrari. Kutoka Sant'Agata kwenda Maranello ni umbali...
1 Reactions
2 Replies
754 Views
YESU WAWILI Picha ya ukubwa wa futi 15 kwa futi 29 kwenye ukuta wa kanisa, The Last Supper ya mchoraji Leonardo da Vinci, inayoonyesha mlo wa mwisho kati ya Yesu na wanafunzi wake kabla ya...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Wengi wetu sio wageni kuziona video za wakristo wanatemewa mate wakienda Israel, Ni matukio yanayotokea mara chache lakini kwa jinisi yanavyotrend yanajenga picha kwamba ni matukio ya kila siku na...
1 Reactions
6 Replies
599 Views
Aisee kwa ufupi sikuwai kuwaza nitakuja kuangukia kazi hii ambayo japo kua napata riziki lakini kwa namna fulani nafsi haina ile furaha ya kweli. Najua wapo watu humu wanafanya shuguli za...
4 Reactions
29 Replies
846 Views
Picha za hali ya kituo cha Polisi Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita baada ya jana Jumatano Septemba 11, 2024 kuvamiwa na wananchi huku wakifanya uharibifu wa baadhi ya mali ikiwamo gari...
17 Reactions
84 Replies
5K Views
Naomba kujua security ya fedha za mteja kwa SIM banking ikoje. For example, TCB popote unaweza kuhamisha fedha toka akaunti yako, kukopa salary advance, pension advance and many other operations...
0 Reactions
1 Replies
789 Views
Tangu asubuhi Star Tv haioneshi picha ni sauti tu inamaanisha hawa jamaa hawajui nini kinaendelea au ujinga wao tu USSR
1 Reactions
6 Replies
230 Views
Habari za muda huu wana JF NINGEPENDA KUJUA VITU GANI MUHIMU VYA KUA NAVYO KABLA YA KUOMBA STICKER YA USALAMA KWA AJILI YA GARI👏
1 Reactions
10 Replies
462 Views
Mji wa Arusha viwanja kwasasa vimepanda bei sana hasa maeneo ya Kiseriani na Moshono, Loswirai. Vipi ndugu zetu wa mkonoo kuna shida gani bei za viwanja zipo chini sana na maendeleo yako down sana...
1 Reactions
7 Replies
412 Views
Back
Top Bottom