International Forum

News and Stories from rest of the World
Israel sasa inapitisha mizigo yake kwa njia ya barabara ndani ya mataifa ya Waarabu, huku magaidi ya dini yakipambana kushambulia meli, waarabu kwenye mataifa mengine wanafaidi, hamna cha dini...
1 Reactions
6 Replies
974 Views
Wanajeshi watatu wameuliwa katika kituo cha kijeshi cha Jordan katika shambulio la ndege zisizo na rubani au drone.Cha kushangaza wote ni black america!!(Africa amerika) Kwa wasiofahamu marekani...
2 Reactions
70 Replies
3K Views
Katika tukio muhimu la kidiplomasia, Waziri Mkuu wa India Narendra Modi anatazamiwa kuhutubia Mkutano wa Serikali ya Dunia (WGS) huko Dubai kama "mgeni wa heshima" mnamo Februari 14. Hii itakuwa...
0 Reactions
0 Replies
317 Views
Hii Ndio Taarifa ya leo kwamba Jeshi la Israel linaingia mji maarufu wa Wapalestina kwenye miundombinu mbalimbali ya Misaada Rafah Source Al jazeera news
5 Reactions
9 Replies
815 Views
Wakuu wa baadhi ya makampuni makubwa ya mitandao ya kijamii duniani wamehojiwa na wanasiasa katika Seneti ya Marekani na kukaangwa vilivyo kuhusu ulinzi wa watoto mtandaoni. Wameulaumu uongozi wa...
2 Reactions
9 Replies
781 Views
Ikhwanul Muslimiin ni harakati kongwe sana nchini Misri ambayo hatimae iliweza kupenya mataifa kadhaa ya kiislamu. Upeo wa mafanikio wa Ikhwaan au muslim brotherhood ni pale chama hicho kilipoweza...
6 Reactions
21 Replies
1K Views
Kuna mpango kabambe wa UN kutumia/invoke article 6 ya UN charter kutimua US kusitisha kua mwana chama UN tena na veto power yake itakua no more. US imekua kizingiti kikubwa kwenye Amani ya dunia...
9 Reactions
89 Replies
3K Views
Wanaukumbi. BREAKING: KING CHARLES ANA SARATANI - TAARIFA RASMI YA KIFALME "Wakati wa upasuaji wa hivi majuzi wa hospitali ya The King kwa upanuzi wa tezi-dume isiyo na nguvu, suala tofauti la...
3 Reactions
34 Replies
2K Views
SENEGAL: Serikali imetangaza kusitisha Huduma za Intaneti Nchi nzima kwa maelezo kuwa inakusudia kuzuia usambazaji wa taarifa za chuki na uchochezi wa uasi baada ya Rais Macky Sall kuahirisha...
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Marekani wamepiga kila kinachohusiana na Iran huko nje hadi Iran ameng'aka, kwamba kwa vyote mnavyopiga msiguze hizi meli maana tutapigana sasa......hehehe Haya yetu macho maana Marekani...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Kwa mujibu wa takwimu mpya zilizotolewa na Wizara ya Biashara ya China, jumla ya biashara kati ya China na Afrika iliongezeka kwa 1.5% mwaka 2023 kuliko mwaka 2022, na kufikia rekodi mpya ya...
0 Reactions
0 Replies
440 Views
Katika siku za hivi karibuni Rais Xi Jinping wa China aliongoza mikutano ya kamati mbalimbali za Chama cha Kikomunisti cha China. Kikiwa ni chama tawala cha China, na mchango wake katika kuleta...
0 Reactions
0 Replies
452 Views
Ubinafsi umekuwa ni tatizo kubwa sana kwetu Africa kuzidi umoja wa uafrika wetu hasa katika Loyalty ya ukabila / ukoo / mru binafsi, Mwafrika yupo tayari kumnyima nafasi mwafrika mwenye uwezo kwa...
1 Reactions
2 Replies
375 Views
Serikali ya Houthi ya Yemeni imeshambulia Israel kwa kutumia ballistic missiles kutokea Yemen. Huu ni muendelezo wa hatua ya pili baada ya awali kua inashambulia meli za mizigo zinazoelekea...
12 Reactions
50 Replies
3K Views
Jana nilikuwa na tour za kutembelea bar kadha hapa mjini dodoma Kwanza nilianza kwa Steve liquor area C ,pale Nimekuta kundi kubwa la vijana wamejazana ktk viti wakipiga ulabu na nyama kwa wingi...
10 Reactions
62 Replies
2K Views
Waziri wa Usalama mh Ben amesema Marekani haitoi ushirikiano timilifu kwa Israel kwani kwa kitendo cha kutoa Misaada ya Mafuta, Chakula na Dawa kwa Palestine Misaada hiyo inaangukia mikononi mwa...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
Iran kupitia kwa wizara yake ya mambo ya nje imesema Marekani imefanya kosa kubwa sana la kimkakati kwa kushambulia maeneo ya Iraq na Syria. Kwa upande wa Iraq imesema haitaki nchi yake iwe ni...
5 Reactions
47 Replies
3K Views
Marekani yasema inachofanya huko Mashariki ya Kati ni kupeleka Amani kwa nchi za Waarabu Kazi ni moja tu kuvisambalatisha Vikundi vyote vya Magaidi ikishirikiana na Washirika wake Source Al...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Raisi Biden wa Marekani na wasaidizi wake wametangaza kuwa mipango yote ya kupiga vituo vya Iran ndani ya Syria na Iraq imekamilika.Kinachosubiriwa ni hali ya hewa tu iwe rafiki kwa kile...
10 Reactions
62 Replies
3K Views
Hili jamaa linalo ongoza Senegal lina sababu gani za msingi kuhairisha uchaguzi ? Au ndio upuuzi wa kung'ang'ania madaraka kama kawaida ya maviongozi ya Afrika ? Hivi hivi Senegal inaweza kuingia...
3 Reactions
5 Replies
509 Views
Back
Top Bottom