Rwanda ni nchi ndogo ki eneo lakini ina raia 13,000,000.
Ukubwa wa jeshi la Rwanda ni kwamba Ina active personnel 33,000
Jeshi 33000 lenye serikali imara ni ngumu Sana ku-invade.
Tujifunze Vita...
Heri ya mwaka mpya bandugu.
Nisiwapotezee muda wenu ila niende moja kwa moja kwenye mada.
Kwa mnaofatilia kwa ukaribu mapambano ya vita kati ya mahasimu wa kihisoria, nazungumzia wapalestina na...
By AFRICA NEWS
Nigeria has announced an expansion of its suspension of degrees accreditation, encompassing additional countries such as Kenya and Uganda.
This decision follows the recent...
Hii ni video inaonyesha waandamanaji wanaounga mkono palestina wakiwa karibu na makazi binafsi ya katibu wa serikali ya marekani (waziri wa mambo ya nje) antony blinken wakimwagia vimininika...
Siku zote tumezoea kuona Israel wanajibu rockets za Hezbollah, na wamekua wakionya hao Hezbollah wapunguze kiherehere, lakini mtoto akililia wembe mpe tu.
Sasa wameanza kupiga.
Ikumbukwe kwa...
Baada ya jaribio la wiki iliyopita kuteka meli na kuipeleka kwenye maeneo yao kushindwa na kusababisha vifo vya askari 10 wa Houth kumewakasirisha sana wanamgambo hao na serikali ya Iran.
Iran...
Mwishoni mwa mwaka 2023 ambayo ilikuwa Disema 27, rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi alifanya sherehe kubwa katika uwanja wa Amani, ikiwa ni moja ya...
Hali ya vita inazidi kuwa mbaya kwa Israel kiasi kwamba wamelazimika kuondoa vikosi vyake kadhaa kutoka uwanja wa vita.
Sababu kuu inayotajwa ni kuporomoka kwa uchumi wa nchi hiyo kiasi kwamba...
Ni baraka kuzaliwa Tanzania, Kuna nchi hata kusherekea christmas ni taabu.
Kikundi cha waislam wenye itikadi kali kimeua wakristo zaidi ya 100 katika vijiji kadhaa vya mkoa wa Plateau nchini...
Mwanariadha wa zamani wa Olimpiki Oscar Pistorius ameachiliwa kwa msamaha kutoka jela nchini Afrika Kusini, baada ya kuwa kifungoni kwa takriban miaka 11 baada ya kumuua mpenzi wake Reeva...
Badala ya watu kuabudu 'mungu' wao kazi ni maugaidi mpaka kwenye misikiti, karibu kila msikiti una handaki la kigaidi, inabidi ipigwe yote na kufanywa shamba.....
The 55th Paratroopers Reserve...
Hii hadithi ni ndefu sana.Lakini tutaileta hapa kwa ufupi.Najua kuna wataalamu wataiendeleza.
Kwa ufupi dunia tangu kuumbwa Mwenyezi Mungu (Allah) ameleta umma nyingi kabla ya umma huu.Wakileta...
Sijui kwanini cho za Afrika au za Asia hazijifunzi kwa marekani wakawa na demokrasia. Hivi kwa mfano Kim jong UN, Putin nk wakifa lazima nchizi zao zitingia katika vita ya wenyewe kwa wenyewe mana...
Miili ya watu zaidi ya 165 wauawa nchini Iran baada ya milipuko miwili kutikisa umati wa watu waliokuwa kwenye maombolezo ya kifo cha Khassim Suleiman mwaka 2020.
Kundi la kigaidi ya Islamic...
Somalia hawa hawa na maugaidi yao wanataka kuanzisha vita na Ethiopia kisa hao Ethiopia wamedhamiria kutumia bandari ya Somaliland..............
Somalia vowed on Tuesday to defend its territory...
Hivi punde US imesema.
[emoji1630] Pentagon official:
A Danish owned, Singapore flagged ship was hit by Yemen’s AnsarAllah cruise missile or UAV, earlier today in the Red Sea.
Additionally, 26...
[emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599][emoji599]
Russia amechafukwa huko Syria, makombora yaliyorushwa na Israeli kuelekea...
Wapalestina wamesema msiba wa Kamanda Saleh Al Arouri ni mkubwa sana hivyo hawatafanya Shughuli zozote za Kiuchumi kwa sasa
Wamesema kufunga Shughuli za Kiuchumi kutaikosesha Serikali Mapato na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.