Mpaka jana (tarehe 23 Oktoba) raisi Joe Biden wa Marekani ameendelea na msimamo wake kwamba hataki mashambulizi ya Israel yasimamishwe huku madhambulizi hayo yakizidi kuongezeka na kuzidi kuuwa...
Ikumbukwe Mataifa mengi ya Africa ikiwemo Kenya yenye Uchumi Mzuri Bajeti Zao zinategemea Misaada ya EU na USA
Sasa Mabwanyenye hao na Rafiki Zao Misaada yote kipaumbele ni Israel na eneo lote la...
Mechi ya simba na Al ahly leo pale Cairo imekua gumzo baada ya washabiki wao kupeperusha bendera ya Palestine kuonesha kuunga mkono harakati za wapalestina kudai uhuru wao.
Ni mwanamtandao...
Iran ni master mind ....anasukuma kete zake mdogo mdogo Kwa kutumia 3rd parties
========
The United States has accused Iran of “actively facilitating” rocket and drone attacks by Iranian-backed...
Kiwanda kikubwa cha Avdiivka Coke Plant kimeangukia kwenye mikono ya Warusi.kuanguka kwa Adviivka coke plant inaonyesha jinsi gani defence ya mji wa Avdiivka imeferi.
Warusi sasa wanafanya...
Hadi sasa, raia takribani 20 wameuawa katika shambulio la Mashariki mwa DR Congo lililofanywa na wapiganaji wanaohusishwa na kundi la Islamic State.
Shambulio hilo lilitokea Jumatatu usiku...
Wakati Israel ikijiandaa kuivamia Gaza, kulitokea kimbunga kikali sana na mvua kubwa iliyoahirisha mipango ya Israel kuingiza majeshi yake Gaza.
Hali hiyo imeweka presha kubwa kwa serikali ya...
Umoja wa Afrika umekataa mpango ya ECOWAS wa kuingilia kijeshi nchi ya Niger, na hivyo kuonyesha kutokubaliana na msimamo wa ECOWAS, kama ilivyoripotiwa na Le Monde.
Kwa mujibu wa chapisho hilo...
KIMSINGI Hesbullah ndio tishio kubwa.
Hamas ni kama genge flani ambalo wakiamua kulifuta hata kwa gharama ya maisha ya raia wasiohusika wanaweza.
Ila hawa Hesbullah naona ni watat zaidi. Ni...
Dah! ila kweli palikua na ulazima wa watu kufa hivi, HAMAS kweli hawana akili....
Every day in Gaza, the two biggest hopes are to stay alive and not receive word of another devastating loss.
A...
Jeshi la Israel limetoa salamu za Pole baada ya kombora lake kupiga kituo cha mpakani cha RAFAH upande wa Misri. Mara nyingi Israel hushambulia kituo hicho lakini upande wa GAZA. Kituo hicho ndio...
Kambi za Marekani huko Syria na Iraq zimeanza kuchomwa kwa kasi huko Mashariki ya kati.
Hali inazidi kuwa mbaya! Naskia kuna taarifa kuwa Marekani imepanga kuhamisha wanajeshi wake huko.
Tayari...
Mnamo tarehe 18 Oktoba, 2023 UN imeondoa vikwazo vya Iran kufanya biashara ya silaha na imeiruhusu Iran iuze silaha yeyote na taifa lolote.
Jumamosi ya tarehe 21 Oktoba, 2023 UN ndio imetangaza...
Mchungaji Matsahi wa KKKT Kimara amesema Israel ni taifa linalotumiwa na Mungu wa mbinguni kama Saa ya matimilizo ya Nabii mbalimbali
Kwa sasa hakuna Jeshi la kuishinda Israel kwani waliwahi...
Written by Manjari Singh
India is a land of captivating festivals that celebrate its rich cultural diversity, and the Rann Utsav in the Kutch region of Gujarat is undoubtedly one of the most...
Kwamba wao wapige maroketi yao ila wasijibiwe maana itasababisha vifo kwa Wapalestina....
SCREENSHOT
Hamas has claimed that the death toll among Palestinians in a massive Israeli air strike on...
Katika miaka ya hivi karibuni, ushabiki wa kuigiza mavazi ya wahusika wa katuni aina ya anime umeendelea kuongezeka barani Afrika, na hata wadau husika wanasema Afrika inatarajiwa kuwa soko muhimu...
Tunajua hamupendi waislam na mnapenda Mayahudi ktk hivi vita vya Gaza kati ya waislam na mayahudi na washirika wake. Lakini angalau tumieni weledi kidogo ktk kuripoti.
Jinsi mnavyoripoti basi...
Taratibu tutaongea lugha moja humu.....
https://twitter.com/i/status/1716646861572849818
A senior leader of the Palestinian group Hamas has been arrested in the occupied West Bank following an...
Matangazo mengi kuhusu wanamgambo wa Hamas kinyume na uwezo wao inaonekana kumelitia hofu kubwa jeshi la Israel ambalo linaundwa zaidi na vijana wadogo.
Hayo yameonekana katika kurudiwa kwa ahadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.