International Forum

News and Stories from rest of the World
Wasomi mbali mbali kwenye vyuo vikuu kote ulimwenguni wameonekana kutorudishwa nyuma na propaganda za Israel katika kuwaunga mkono wanamgambo wa Hamas na jumuiya ya wapalestina kwa jumla.Hali hiyo...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Tetemeko jipya la ardhi limekumba magharibi mwa Afghanistan - siku kadhaa baada ya mitetemeko miwili mikubwa katika eneo hilo kuua zaidi ya watu 1,000. Shirika la Utafiti wa Jiolojia la Marekani...
2 Reactions
3 Replies
427 Views
Iran ndiyo tishio na miongoni mwa madui wa Israel huko Mashariki ya Kati. Israel imevamiwa na kulipa kisasi dhidi ya Palestina kwa siku kadhaa sasa. Nchi za Magharibi zinashutumiwa kuiunga mkono...
2 Reactions
9 Replies
834 Views
Wanajeshi wa Israel wamewarushia mabomu ya Machozi Waumini walipoenda kuabudu kwenye Msikiti mkuu wa Dunia Al Aqsa Ulinzi umeimarishwa kuuzunguka Msikiti Viongozi mbalimbali wa Dunia...
19 Reactions
143 Replies
9K Views
Wapalestina wajifie huko wasithubutu kuingia Misri kwa Waarabu wenzao, ila wageni wasio Wapalestina wapite tu shwari. https://www.youtube.com/watch?v=qGBuzavPCf4
0 Reactions
6 Replies
773 Views
Mzuka wanajamvi! Licha ya wakurd kuwa waislam wa madhehebu tmya Sunni hawajaandama kabisa kupinga taifa takatifu teule la Israel katika operesheni yake ya kutokomeza na kusafisha ugaid na magaidi...
4 Reactions
53 Replies
4K Views
Kiongozi wa kundi la Wanamgambo wa HAMAS aliyeongoza uvamizi ndani ya Israel siku ya Jumamosi ya Oktoba 7, Ali Qadhi ameuawa baada ya handaki alilokuwa amejificha kugunduliwa na inteligensia ya...
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Hamas wanategesha mabomu kwenye magari yanayohamisha watu Gaza kaskazini, Hamas hawaoni taabu kuua wapalestina kwa lengo la kutengeneza propaganda kuwasingizia Israel ndio wanafanya haya mashambulizi
0 Reactions
1 Replies
456 Views
Kwa namna Marekani ilivyoonyesha upendeleo wa dhahiri, naweza kusema inatengeneza uharibifu mwingine sijui kwa faida gani! Je, hali hii inaiweka dunia kwenye wakati gani? Je, hii ni mbinu ya...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
Hatua hiyo inakuja ikiwa ni miezi 10 imepita tangu Dieudonne Ishimwe, mwanamuziki wa zamani maarufu kama Prince Kid, afutiwe mashtaka ya ubakaji na kuwaomba Rushwa ya Ngono Washiriki wa Shindano...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Babkubwa la magaidi ya dini limekana halikuhusika kwenye ugaidi wa juzi wa HAMAS ambao umepelekea Israel kujibu kwa nguvu nyingi hadi dunia imechanganyikiwa, wengi tunasema sasa basi, tosha, hadi...
10 Reactions
41 Replies
3K Views
Hello, I see Palestine with Israel Russia with Ukraine Taiwan with China African revolution What can possibly trigger a full war into the whole world, what can make nation pick sides. ...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Bi. Ursula von der Leyen rais wa Kamisheni ya Ulaya European Commission https://m.youtube.com/watch?v=Y8VWXACReew Atembelea maeneo ya Kfar Azza kusini mwa Israeli katika moja ya Kibbutz...
0 Reactions
2 Replies
512 Views
Mwana mfalame wa Saudia Mohammed Salman na raisi wa Iran Brahimi RAaisi wamezungumza kwa simu kwa mara ya mwanzo hapo juzi na kukubaiana kuiunga mkono Palestina katika madai yao. Mohammad...
2 Reactions
6 Replies
810 Views
Mpaka sasa Israel inaendelea kusambaratisha kila kitu na kukata huduma zote, wakimbizi 250,000 wamekusanyika wakitegemea UN, misaada inaendelea kukata, mataifa ya Kiarabu yametanguliza Misri...
13 Reactions
100 Replies
7K Views
Jamii ya wakurd inapatikana mashariki ya kati. Walikuwa wanajulikana kama Medes kwenye Biblia. Idadi ya wakurd duniani ni zaidi ya million arobaini. Wakurd wengi walikuwa wakristo kabla ya...
41 Reactions
652 Replies
21K Views
Kuna maandamano kwenye nchi mbalimbali duniani kuiunga mkono Palestine. Uingereza maandamano ni makubwa sana muda huu. Akufaaye kwa Dhiki ndiye Rafiki. Source: BBC news
1 Reactions
18 Replies
936 Views
Kwanini vikosi vya Palestina vilifaulu kuingia kinyemela katika maeneo ya Israel na kufanikiwa kufanya mashambulizi makubwa kabisa ndani ya Israel ikiwa ni pamoja na kuteka mamia ya wanajeshi wa...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Nakumbuka miaka 3 nyuma dunia ilishuhudia (COVID) HOMDA ambayo ilitaka dunia kujifungia kwa lengo la kuharibu uchumi wake "planned stories" siwezi kukataa hundred percent kwamba ugonjwa haukuwepo...
8 Reactions
80 Replies
6K Views
Back
Top Bottom