Katoka hali ya kushangaza Rais wa Israel bwana Isaac amenukuliwa akisema kila mtu anaeishi Gasa ni mhalifu bila kujali ni rais ama wanamgambo wa Hamas hadi pale itakapokuja kuthibitishwa tofauti...
SERIKALI imesema kuna haja ya kufuatilia mwenendo wa mashtaka ili kubaini uhalali wa adhabu iliyotolewa na Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa nchini (TPBRC) ya kumfungia bondia Hassan Mwakinyo.
Hayo...
Moja ya Wafalme waliochukua Maeneo Mengi sana Kule Bara la ASIA.
King Genghis Khan the Great kutoka Mongolia dynasty na muanzilishi wa dynasty hiyo ambaye alikusanya Jamii ndogondogo zikawa chini...
Leaders of Malawi's biggest Christian church movement, the Malawi Council of Churches (MCC), have voiced their official stand on current "contemporary issues" affecting Malawi.
In a statement...
Ni Gereza linalochukua Wafungwa Elfu Tatu tu ila lina Wafungwa zaidi ya Elfu Ishirini
Ni Gereza la Kijeshi ila linalochukua Raia wa Makosa mbalimbali
Ni Gereza ambalo Wafungwa wakiingia Siku ya...
Japo kinachoendelea kinaweza kuonekana kama tatizo la mashariki ya kati, ni tatizo la dunia. Kwanini Ukraine imegeuzwa na nchi za magharibi tatizo la dunia lakini si mashariki ya kati?
Je, ni...
Yaani majitu mnashabikia ugaidi wa HAMAS kisa ni watu wa dini yenu halafu majibu ya Israel yanakuja kwa nguvu hadi kutia ukakasi, kuna picha nimeziona ambazo siwezi kuzileta humu ila hii dunia...
Siku ya leo vuguvugu la kutaka kubadilishwa kwa sera ya EU juu ya Ukraine limepamba moto. Wabunge wa European Parliament wamezungumza hayo leo na kuishutumu vikali serikali ya Ukraine kwa Rushwa...
Tunasikia Egypt walitoa habari juu ya shambulio hili ila huenda Israel wakaona wakidhibiti mapema mambo yatakuwa yale yale ya kuruhusiwa kumchapa Hamas na Chelewa wakitaka kurusha ngumi wanazuiwa...
Wakati uchaguzi wa Marekani unakaribia kumekuwepo na habari nyingi kuhusiana na mazungumzo ya kurudisha uhusiano baina ya Saudi Arabia na taifa la Israel.
Uhusiano huo umeshindikana kwa miaka...
Iran inapaswa iendelee kufyata mdomo na isiongee chochote huku mabomu yakishuka Palestina kama mvua.
Kuna ripoti zimejitokeza kwamba hata Iran wameshtukizwa kwenye hili shambulio, inaonekana...
Kujiamini kwa kupitiliza kwa Marekani na Israel ndiko kunakokaribisha chuki kutoka kila upande duniani.Huwa wanafanya kile kisichopendeza kwa wenzao na wakifanyiwa wao inakuwa ni nongwa kubwa...
Tukisema Ulaya na Nchi za magharibi ujasusi wao ni wakiwango cha kutisha muwe mnaamini.
Ktk hili sitaki kuamini hata Tanzania huenda tumeshapigwa japo yaweza kuwa top secret.
Siku chache baada...
Huku Waarabu weusi wa Bongo wakiendelea kuchekelea na kufurahia uchokozi wa HAMAS kisa ni ndugu zao katika dini, ifahamike wahanga wa hii vita ni hao hao Wapalestina ambao mabomu yamelipua makazi...
Israel Imetoa Onyo Kali Kwa Iran na Syria Kwa kushambulia uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Damascus Mda Mfupi Kabla ya Ndege Iliyombeba Waziri wa Mambo ya kigeni wa Iran Kutua.
Habari zinasema...
HOFU KUU: Leo Hii Rais wa Ukraine Mheshimiwa Vlad. ZELENSKY amekwenda makao makuu ya NATO ikiwa ni mara ya kwanza tangu waingie vitani na Urussi.
Zele ameona hali ni mbaya kwani last week alionya...
Huu ni ukweli tunaotaka kuupinga sana kuwa anachofanya muisrael ni kujaribu kificha aibu na fedheha ya uzembe walioufanya ama hofu imemjaa so anafanya offensive kubwa kujaribu kuneutralize...
Isarel na US siyo wajinga kuita wanajeshi wa IDF huko ulaya na kuanza Supply ya Silaha kwenda Tel Aviv. Wanajua hii inaweza kuwa Proxy war iliyojificha sana na escalation ikawa ndefu sana.
Wiki 2...
Licha ya chokochoko zote hizi za hawa magaidi, wengi wanaishi kwa misaada ya aidha Israel au kutokea Uzunguni, ila Waarabu wenzao huwapa tu masilaha ya kufyatua kwenda Israel.
=============
The...
Katika vita inayoendela, West, EU na na nchi zote wanachama wa NATO wamesimama na mshirika wao Israel, hawamung'unyi maneno. BRICS wanasimama na upande upi?
Kwa nini BRICS haionyeshi uongozi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.