Mji wa Derna mashariki ya Libya ni mji wenye historia kubwa katika nchi hiyo.Ndiko walikozikwa maswahaba wengi wa Mtume s.a.w nchini humo jumla yao wakifikia 70.Na hata jeshi la Amru ibn Aas...
Uamuzi huo umechukuliwa wakati huu Gabon ikiwa chini ya utawala wa Kijeshi ambao ulimtoa madarakani Rais Ali Bongo.
Uamuzi huo umetolewa na Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Jumuiya ya Madola huku...
Jeshi la Marekani limeomba usaidizi wa umma kupata mojawapo ya ndege zake za kivita za F-35 zenye thamani ya $80m (£65m) baada ya ndege hio kupotea kimazingara.
Ilipotea Jumapili alasiri wakati...
Ukraine wameishiwa na watu wa kuwasajili jeshini na wakati hauko rafiki nao.
Kwa maoni ya wachambuzi wa kijeshi wa The Telegraph, haya mapigo ya droni yanayotangazwa na Ukraine hayawezi kabisa...
Gumzo kubwa linaloendelea ulimwenguni baada ya mafuriko ya maji Libya baada ya mabwawa mawili kupasuka, kwa sababu ya uchakavu na kutofanyiwa maintenance na uborejashi. Je, hili linaweza kutokea...
Baada ya kukamilika kwa safari nne za mzunguko wa ardhi, Aditya-L1 itapitia safari wa kuingiza Trans-Lagrangian1.
Chombo cha anga za juu cha Aditya L1, ujumbe wa kwanza wa anga za juu wa India...
Ni tahadhari ilitolewa na Mamlaka ya Huduma za Maji ya Jiji la Johannesburg Nchini Afrika Kusini ikiwataka Wananchi kutumia Maji kidogo vinginevyo watasababisha Mfumo wa Usambazaji Kuishiwa Maji...
Bila kupoteza muda. Tumsifu YESU KRISTU.
Leo nataka niongelee kuhusu uwezo wa Jeshi la North Korea. Kwanini hawa jamaa wanatisha sana? Na kwanini West wanaeneza propaganda nyingi sana ili tu...
Maendeleo ya Afrika yanakwamishwa na serikali zilizojaa ukandamizaji, taasisi zinazotumia rasilimali kwa faida ya wachache, na viongozi wanaoona siasa kama njia ya kujinufaisha.
Misingi ya jamii...
Haya kumekucha Gabon, Brice ambae ndo alikuwa mkuu wa ulinzi wa Rais ndo kawa Rais.
Kwa uchunguzi wangu ,huyu Nguema ni binamu wa Ali Bongo. Na Ali Bongo alimpa kazi maalum ya kumuandaa mtoto wa...
Wakati hii kesi inaanza ya kuishtaki Urusi, nakumbuka Warusi asili na hawa wa humu JF kwa Mtongole walitukana sana na kusema Urusi haitotambua hii mahakama, sasa Urusi imekalishwa, imetuma wajumbe...
Natumai hamjambo wana JF wenzagu,
Niende moja kwa moja kwenye hoja yangu. Kuna baadhi ya watu wamekuwa wakiuchukulia mzozo/vita ya Ukrein kwa mitazamo tofauti tofauti na hata baadhi yao kumtupia...
Conspiracy becomes truth:IBM to replace 8,000 workers with AI automation; no more new hires for roles that can be filled by AI
Thursday, May 04, 2023
Last month, Goldman Sachs predicted that...
Aina mpya ya drone boat, yaani aina ya mashua inayosafiri yenyewe bila nahodha na yenye uwezo mkubwa, imepita pale Strait of Hormuz huku Irain wakishangaa shangaa...
=======================
The...
Ushirika wa maana kwa Putin, angalau ni China tu, kwa Kim ni rahisi mno kujitokeza vikundi vya kumgeuka na kusambaratisha Serikali yake kwa haraka.
Kim, ni mtesaji wa watu wake! Ni muuaji wa...
Kama hakuna adui kutokea ndani hakuna kitakacho kutokea.
Check your inner circle.
Malizia na Bongo ?
Yes, malizia na Bongo!!
1.Amebakia Nani ?
2.Vipi nchini kwako hayajatokea haya ?
Hali ya maisha katika nchi za nato na wengine sio nzuri kabisa.
Maisha yamekuwa ghali kinoma
Makato ya serekali yamepanda vyakula vimepanda bei na mambo mengine mengi.
Lakini kila kukicha Kama...
Muda itabidi waachiwe pakutokea....
===========
Ukraine forces have retaken land near Bakhmut from Russia, Kyiv says
Ukrainian forces have recaptured the heights over Bakhmut and are...
Itabidi Warusi waachiwe pakutokea la sivyo wataishia kuuana vibaya mno, Warusi walijaribu sana kuzuia wasizingirwe Bakhmut lakini imeshindikana, Ukraine wamepasua ngome zote na wapo kwenye hatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.