International Forum

News and Stories from rest of the World
Balozi wa Marekani kwenye Umoja wa Mataifa Nikki Haley amesema kwamba msemo wa Trump "fire and fury" kwamba North Korea itakumbana na moto na gadhabu kubwa kuwahi kushuhudiwa tangu dunia iumbwe...
10 Reactions
103 Replies
12K Views
South Korea donates 50,000 tons of rice to North Korea South Korea has said it will make its largest food donation to the North since 2008, as an estimated 40% of North Koreans are...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Maisha ndani ya jeshi la korea kaskazini bado ni ya kutatanisha, na vikosi vya jeshi la korea kaskazini vimeendelea kupata shida mbali mbali ikiwemo njaa, parasite (wadudu washambuliao mwili wa...
2 Reactions
26 Replies
9K Views
Madogo wanaendelea kubonyeza bonyeza tu, vita vya kisasa tamu sana.... A Ukrainian drone has caused significant damage to a Russian oil storage facility, triggering a fire in one of the gasoline...
6 Reactions
15 Replies
1K Views
Hadi aibu jameni, supapawa ameshindwa kulinda meli zake za kivita, zinapigwa kizembe sana na drones...... After successful Ukrainian attacks on a large landing ship and a submarine in occupied...
7 Reactions
12 Replies
1K Views
Shutuma zimeanza kuelekezwa kwa general Haftar na ukoo wake kuhusianan na mafuriko yasiyo kawaida yaliyosababisha watu 11,300 kufa na wengine zaidi ya 10000 wakiendelea kutafutwa chini ya vifusi...
1 Reactions
0 Replies
736 Views
Wakuu Hali za Waarabu ni Tete. Takribani watu 2,300 wamefariki Dunia Kufuatia Mafuriko yaliyoletwa na kimbunge Daniel kilichoambatana na mvua kubwa ambazo zimevunja mabwawa na majengo ya gorofa...
0 Reactions
25 Replies
2K Views
Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-Un amekiri nchi yake kukabiliwa na baa la njaa, akisema hali ya uhaba wa chakula inazidi kuwa mbaya wakati taifa hilo likiwa katikati ya mapambano dhidi ya virusi...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Mwanaume mmoja raia wa Korea Kaskazini ambae utambulisho wake haujawekwa wazi amehukumiwa kifo kwa kutazama na kusambaza nakala za series maarufu kutoka Netflix 'Squid Game'. Inasemekana hukumu...
3 Reactions
13 Replies
3K Views
Vatikani imeidhinisha ombi la maaskofu wa Ufilipino la kuwaruhusu kuwatawaza Wakatoliki waliohitimu, wakiwemo wanaume waliooa kuwa mashemasi wa kudumu ili kusaidia kuangalia uwiano wa mapadre na...
2 Reactions
10 Replies
996 Views
Iran seizes Tanzania-flagged tanker for alleged oil smuggling Iran has seized two oil tankers allegedly carrying smuggled fuel in the Gulf and arrested their crews, state television announced on...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Wadukuzi wa Iran' wapenya kwenye mitandao ya makampuni zaidi ya 30 ya Israel Sep 12, 2023 06:28 UTC Tovuti ya Israel ya Ynetnews imeripoti kuwa wadukuzi wa Iran wamefanikiwa kupenya kwenye...
5 Reactions
5 Replies
285 Views
Rais wa urusi Vladimir Putin amefanya mazungumzo na rais wa mali goita na kumuhakikishia ulinzi na usalama wa kikanda. Upande wa saher pia rais putin wamekubaliana kuwekwa kwa Military base...
12 Reactions
35 Replies
2K Views
Mafuriko makubwa yamesababisha vifo vya maelfu ya watu katika mji wa Derna, mashariki mwa Libya, na kusomba baharini vitongoji na wakazi wengi huku maelfu ya watu wakiwa hawajulikani walipo...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
#HABARI Uamuzi wa Wizara ya Elimu nchini Misri kutangaza marufuku ya kuvaa vazi la uso (Niqab) katika shule za serikali na binafsi umezua mjadala kwenye mitandao ya kijamii na kushutumiwa vikali...
14 Reactions
149 Replies
7K Views
Wanapiga popote, hizi drones zimekua shida.... A Ukrainian uncrewed surface vessel (USV) hit a Samum-class missile carrier hovercraft on Thursday, 14 September. Source: Ukrainska Pravda’s...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Hakuna kinaachwa, iwe nyambizi, meli za kijeshi au hata za doria, yaani matumizi ya drones ni raha sana, madogo wamekaa kwenye maofisini kazi yao kubonyeza bonyeza tu, wanacheza kama video games...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Usafiri wa ndege ni usafiri wa raha na wa haraka zaidi. Pamoja na hivyo ni moja ya usafiri wenye vituko vingi zaidi. Wiki mbili zilizopita ndege moja huko Marekani ilibidi irudi ilikotoka baada...
11 Reactions
20 Replies
3K Views
https://youtu.be/5RppnyvcO48?si=2oflobqYwxKdC3W9
1 Reactions
2 Replies
537 Views
Rais wa chama cha Ensemble Pour la Rrepublic Moise Katumbi ameitwa na mahakama ya taifa Kinshasa baada ya kutoa kauli kwenye kampeni zake kuwa siku akitangazwa kuwa Rais kuna baadhi ya nchi ambazo...
2 Reactions
6 Replies
771 Views
Back
Top Bottom