Boti hiyo ilikuwa ikiwasafirisha watu katika jimbo la Kwara kutoka kwenye harusi katika jimbo jirani la Niger wakati ilipoanguka, polisi wa jimbo hilo na ofisi ya gavana walisema, bila kutoa...
Ni mambo mpwito mpwito kwa kwenda mbele....
Ukraine claims to have retaken another southeastern village from Russian forces as its counteroffensive gains momentum.
Soldiers held up the Ukrainian...
Serikali ya Ecuador imeanza kuichunguza hospitali aliyokuwa akitibiwa bibi mmoja ambaye alitangazwa amekufa lakini aliamka ndani ya jeneza Ijumaa iliyopita.
Bella Montonya (76) ambaye madaktari...
Silvio aliwahi kumiliki team ya AC Milan. Kwa kipindi chake AC Milan ilikuwa ya moto.
======
Aliyewahi kuwa waziri mkuu wa Italia, Silvio Berlusconi amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 86...
Iran ni taifa teule wallah wamesaini dili la trilioni 50 na Venezuela sisi tupo bize tunauza bandari zote za bara kwa waarab Shame on you Chief Hangaya Mangungo....Msisahau miaka ya juzi kati Iran...
Mwanamke aliyetambulika kwa jina Bella Montoya (76) kutoka Ecuador amewaacha watu kwenye mshangao baada ya kukutwa akihangaika kuvuta pumzi kwenye Jeneza wakati ndugu walipotaka kumvalisha mavazi...
Operesheni ya kufagia fagia takataka....
Ukrainian troop have retaken seven villages spanning 35 square miles from Russian forces in the past week, the deputy defense minister said Monday as the...
Ukraine wanapiga ndani ndani karibu na ikulu ila pia wanakomboa maeneo nyumbani.................
'Ukraine drone' strike hits oil refinery just 80 miles from Putin's palace: Major explosion on...
Ikumbukwe Warusi walikufa zaidi ya 60,000 huku wengi wakiwa wapiganaji wa Wagner kipindi walikua wanajaribu kuteka mji wa Bakhmut, kiongozi huyu alijitangazia ushindi na kuondoka na kuacha...
Bado imeshindikana kuwapatanisha, ni fulu mnyukano kwa kwenda mbele tena wana mizuka ya kiwaki waki.....
A massive fire erupted at the gas depots in southern Khartoum on Wednesday, following...
Allah awajaalie na awakinge ndugu zetu wapalestina dhidi ya hao madhaalimu wakubwa.
Ushindi upo karibu sana, Allah muweza afanikishe, awape subra na awapumzishe mashaahidi wote pema peponi...
Wakati mataifa mengine yanafikiria kuachana na dola ya Marekani katika biashara ya kimataifa kuna mataifa mengine yanafikiria kutumia sarafu hiyo adhimu kama sarafu ya nchi.
-----
While some...
Jeshi la Russia laangamiza vifaru vya Ukraine aina ya Leopard 2 kutoka Ujerumani
Jeshi la Russia limefanikiwa kuangamiza vifaru tisa vya Ukraine, vikiwemo vine vya kisasa kabisa aina ya Leopard 2...
Rais Bola Ahmed Tinubu amesaini Sheria mpya ya mikopo ya kwa Wanafunzi, ambapo Wanafunzi katika Taasisi za Elimu ya juu kama vile Vyuo Vikuu na Vyuo vya ufundi wataweza kupata Mikopo isiyo na riba...
Romania imemrejesha nyumbani Balozi wake Nchini Kenya, Dragos Tigau kutokana na kauli ya kuwafananisha Wanadiplomasia wa Afrika na nyani.
Kauli hiyo aliitoa wakati akiwa katika kikao na Mabalozi...
Marekani inajiamini kuwa inaweza kuitishia nchi yoyote kama itaona kuwa inataka kufanya jambo ambalo litaathiri maslahi ya Marekani, hata kama jambo hilo ni kwa manufaa ya nchi hiyo.
Hapa duniani...
Waokoaji Nchini Misri wanawatafuta Watalii watatu wa Uingereza ambao hawajulikani walipo baada ya moto kuzuka kwenye Boti waliyokuwa wakisafiria baharini nchini Misri jana Jumapili.
Vyombo vya...
Wanasema mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.
Hawa watoto wa wameweza kunusurika na mazingira hatarishi ya msitu mkubwa wa Amazon kwa siku 40 bila chakula wala malazi yoyote hadi walipopatikana leo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.