International Forum

News and Stories from rest of the World
Kwa mujibu taarifa iliyotolewa na Serikali ya #Nigeria imeeleza kuwa Rais #MuhammaduBuhari alitarajiwa kurejea Nchini kwake wiki hii lakini ameongeza wiki moja ili kukutana na Mtaalam wa Afya ya...
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Muungano wa Vyama vya Upinzani Nchini #Senegal umeitisha maandamano hayo siku moja baada ya Mahakama kumuongezea muda wa kifungo #OusmaneSonko kutoka miezi 2 hadi 6 kwa madai ya kumtukana Waziri...
0 Reactions
1 Replies
502 Views
South Korea has experienced one of the largest economic transformations of the past 60 years. It started as an agriculture-based economy in the 1960s,1 and it became the 11th largest economy in...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama kichwa va habari kinavyosema Russia baada ya kulipua handaki ndani ya Ukreine na kuua wataalamu wa NATO zaidi ya 40. Us alitaka kulipiza kisasi kwa kutuma drone yake ambayo anaiita most...
7 Reactions
60 Replies
5K Views
Habari za hivi punde ni kua mmiliki wa WAGNER PMC amesema ameahidiwa na serikali ya Urusi (Shoigu) kupatiwa silaha kadri atakavyo na wataendelea na operation zao za kijeshi nchini Ukraine. Haya...
3 Reactions
40 Replies
2K Views
Tanzanian scientist wins sickle cell research award BY THE GUARDIAN REPORTER 20th September 2011 Dr Julie Makani A Tanzanian scientist, Dr Julie Makani, has this year won the Royal Society's...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kuwahudumia Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) Bi. Catherine Russell amehoji kuwa ni watoto wangapi wanapaswa kufa kabla ya viongozi kuchukua hatua ya kuwaweka...
0 Reactions
2 Replies
524 Views
Hivi karibuni Benki Kuu ya Marekani iliongeza kiwango cha riba kwa mara ya kumi ndani ya miezi 14 iliyopita, hatua ambayo imelaumiwa tena ndani na nje ya nchi hiyo. Kuendelea kuongeza kiwango cha...
3 Reactions
8 Replies
898 Views
Katika mgogoro wa Ukraine tumeshuhudia mifumo ya anga ikitumika sana.hasa kwa pande zote mbili(Urusi akitumia very advanced S-400 Triumph). Ukraine akiwa na mifumo kama S-300 amekuwa ikisema...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Aikosoa serikali kutishia tishia matumizi ya nyuklia kwenye kila shambulizi wanalopokea la drones, asema wamekua kama vinyago "clowns".... Hehehe huyu jamaa akiendelea hivi Putin atamla, japo...
2 Reactions
8 Replies
656 Views
Sherehe za victory parade za Urusi zinafanyika usiku wa leo.CNN watarusha live kuanzia saa saba usiku wa leo ambazo zinafanyika jiji.la St Petersburg Urusi Sherehe hizo hutumika kuonyesha vifaa...
18 Reactions
234 Replies
15K Views
Ni Alain-Guillaume Bunyoni aliyefutwa kazi baada ya kudaiwa kuwa na mipango ya kufanya mapinduzi dhidi ya Serikali ya Rais wa #Burundi #EvaristeNdayishimiye aliyeingia Madarakani baada ya Kifo cha...
0 Reactions
0 Replies
594 Views
Matukio ya mauaji ya watu kwa risasi yameendelea kuitesa Marekani ambapo kwa mujibu wa Ripoti ya Gun Violence Archive idadi ya vifo hadi Mei 8, 2023 ni 14,865 wakati waliojeruhiwa ni 11,872...
1 Reactions
5 Replies
566 Views
Mtangazaji na Mwandishi maarufu wa Habari za Michezo nchini Cameroon Anye Nde Nsoh, ameuawa katika mji wa Bamenda uliopo Kaskazini Magharibi mwa nchi. Ripoti zinasema kuwa Nsoh alikuwa kwenye baa...
1 Reactions
0 Replies
344 Views
Wema unaanzia nyumbani. Hapa EA tumekumbwa na majanga huko Rwanda na East DRC. Watu wamepoteza maisha na makazi. Tumepeleka msaada wowote?
2 Reactions
8 Replies
934 Views
Umoja wa kundi la kiuchumi la BRICS lililoasisiwa na China na Urusi limeonekana kukua na kutishia uhai wa umoja wa mataifa na maslahi ya taifa la Marekani. Hayo yameeleweka wakati umoja huo...
8 Reactions
16 Replies
2K Views
Ilikuwa ni mwezi february mwaka 2015 raisi Xi alipotangaza maono yake ya kujenga mji mpya mkubwa nchini China. Michoro na mipango yote ikakamilika mwaka 2017 na miaka sita imepita China wamekuja...
13 Reactions
36 Replies
3K Views
Rais wa Marekani, Joe Biden ameagiza Wizara ya Uchukuzi kuandika kanuni mpya zitakazoyalazimu Mashirika yote kugharamia Chakula na Malazi ikiwa uchelewaji utakuwa ndani ya udhibiti wa Shirika...
0 Reactions
1 Replies
752 Views
Kinachosumbua DRC ni ukabila wizi kukosa uzalendo na umoja wa kitaifa. 1. Ukabila: Pale DRC Kuna kabila la wanyamulenge.Hawa ni watusi asili Yao kutoka Rwanda, Uganda na Burundi. Kwa asili watusi...
0 Reactions
1 Replies
528 Views
Uturuki ilikuwa inazingua hadi wengi tukawa tunajiuliza ipo kwa maslahi ya nani, wengi walishuku itakuwa kiaina misimamo yao inaongozwa kidini dhidi ya Marekani kimya kimya. Hatimaye wameachia...
12 Reactions
63 Replies
5K Views
Back
Top Bottom