Rais wa Tunisia, Kais Saied, ameimarisha Madaraka yake dhidi ya Mahakama baada ya kutangaza Kanuni inayomruhusu kuwafukuza kazi Majaji au kuwazuia kupandishwa cheo
Mahakama ilisalia kama Mhimili...
Norway imesema inaondoa vizuizi vyote vya kupambana na janga la COVID 19, kwa sababu haioni kitisho kikubwa cha afya kwa raia wake kutokana na janga hilo, licha ya kwamba kirusi cha Omicron bado...
Wajerumani watamchagua rais leo Jumapili kupitia baraza linalotokana na wabunge pamoja na wajumbe kutoka majimbo yote 16. Rais wa Ujerumani anachaguliwa kila baada ya miaka mitano.
Rais wa sasa...
Kwenu GT, kwa Sasa kuna wasiwasi wa Russia kuivania kijeshi Ukraine na maelfu ya wanajeshi wamewekwa mpakani huku mataifa makubwa yakiwataka raia wake kuondoka Ukraine.
Kwa wale wajuvi wa siasa...
Namna Bara la Afrika linavyokabiliana na janga hilo imetajwa kubadilika, lakini kasi zaidi katika zoezi la utoaji Chanjo inahitajika ili kudhibiti maambukizi. Imeelezwa, 85% ya Waafrika bado...
leo pitpita zangu na kutana na habari kuwa nchi ya ghana ukiwa na kitambulisho chao cha uraia umeamaliza sio kuangaika mala passport mara sijui nini!.
hii ngoma naomba NIDA na uhamiaji ziwe ofisi...
Despite repeated warnings from Ukrainian President Volodymyr Zelensky that the U.S. is driving the rise of tensions at Ukraine's eastern border, the U.S. Air Force has deployed four B-52 bombers...
Waziri wa Sheria Nchini humo, Francisco Queiroz amesema ndani ya miaka mitatu iliyopita Serikali imerejesha Mali na Fedha zinazofikia Dola za Marekani Bilioni 11.5 zilizoibiwa kutoka Serikalini na...
Wanaharakati wanaopinga Mapinduzi wamesema zaidi ya Watu 2,000 wakiwemo Waandishi wa habari, Wanasiasa na Watetezi wa Haki wamekamatwa bila kushtakiwa tangu Jeshi lilipopindua Serikali
Nchi za...
Habari zilizotufikia muda huu nikuwa Waingereza akili zimewakaa wameona bora waiachie meli ya Iran ili amani Mashariki ya kati itengamae! Taarifa zaidi zitakujia
===
Authorities in Gibraltar have...
Polisi kwenye Mji mkuu wa Canada wamepambana vikali na waandamanaji wanaopinga masharti ya kuchanja chanjo ya covid kwa lazima.
My take
Tuendelee na zoezi la kuchanja kwa hiari,tusilazimishane.
Kumekuwa na kilio cha muda mrefu cha kuzorota kwa hali ya kibinadamu huko Tigray, Kaskazini mwa Ethiopia.
Hali ya vita inasemekana kusababisha vifo, njaa na hata miundombinu msingi kama umeme...
Msako unaendelea nchini Pakistani kumtafuta mganga wa kienyeji anayedaiwa kushindilia msumari kwenye kichwa cha mwanamke mjamzito. Mwanamke huyo alifika katika hospitali ya Peshawar baada ya...
Kampuni ya China ya Tailing Electric Vehicle imeanzisha kiwanda cha kutengeneza pikipiki na baiskeli za magurudumu matatu nchini Rwanda kwa nia ya kuchangia kupunguza hewa chafu duniani na kukuza...
Ripoti ya kila mwaka ya Faharasi ya demokrasia iliyopishwa na shirika la Economist imeonyesha kuwa demokrasia iliendelea kushuka katika mwaka wa 2021.
Ripoti hiyo imesema kuwa kwa mwaka uliopita...
Mamlaka Nchini humo inasema idadi ya waliopoteza maisha imefikia 111 kutoka 92 iliyoripotiwa siku chache zilizopita. Batsirai kilikuwa Kimbunga cha pili kuathiri Taifa hilo ndani ya siku 14...
Korea Kaskazini imetamba ktk jumanne ya wiki hii kuwa nchi hiyo ni moja ya nchi chache duniani zenye silaha za nyuklia na makombora yenye ubora wa hali ya juu. Ikaendelea kutamba kuwa nchi hiyo...
Papa mstaafu Benedict XVI amekiri kwamba aliwahi kusema uongo kwa wachunguzi na wapelelezi wa kesi ya kuwalawiti watoto kuhusu padri aliekua anachunguzwa kwa kuwalawiti wavulana.
Papa Benedict...
Takriban nusu ya wale waliotoroka kutoka jela nchini Ethiopia mapema asubuhi ya Jumatano bado hawajapatikana.
Kwa jumla, wafungwa 130 walitoroka jela katika mji wa Nefas Mewcha katika eneo la...
Picha: Waziri Mkuu wa Libya, Abdulhamid Dbeibah
Watu waliokuwa na silaha wameshambulia msafara wa Waziri Mkuu wa Nchi hiyo, Abdulhamid Dbeibah Jijini Tripoli. Shambulio hilo linakuja wakati kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.