International Forum

News and Stories from rest of the World
Watoto ni miongoni mwa waliouawa katika shambulio la drone la Marekani Afghanistan Aug 30, 2021 11:26 UTC [https://media] Watoto wadogo ni miongoni mwa raia kadhaa waliouawa katika shambulio la...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Rais wa Marekani Joe Biden Rais wa Marekani Joe Biden Alhamisi jioni amekashifu wanaopinga chanjo ya Covid hapa Marekani, wakati akitangaza kanuni mpya ambazo zinawataka karibu wafanyakazi wote...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Haya ni majibu kwa thread: Papa aiomba msamaha Rwanda kwa Mapadre kushiriki mauwaji ya kimbari 1994 by barafu. cc: Fais12 Kingsharon92 kwenda21 Gerasmus eliakeem Today the Holy Father, Pope...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Viongozi wa Jeshi waliopindua Serikali wamewaachilia takriban wafungwa 80 waliokuwa wapinzani wa Rais Conde kabla ya kufanywa kwa mkutano wa Mataifa ya Afrika Magharibi, ECOWAS. Viongozi wa...
9 Reactions
20 Replies
3K Views
Siku ya Alhamisi iliyopita China imetuma rocket kubwa kuliko zote angani lakini pasina kujulikana sababu imetoka katika control yao na mpaka sasa haijulikani iko wapi? Ina uzito wa tani 21 na...
13 Reactions
121 Replies
12K Views
After Portugal, now Sweden has become the second European nation to ban travellers from the most vaccinated nation Israel. Sweden also banned the entry of citizens from the United States, Kosovo...
3 Reactions
44 Replies
4K Views
Jumuiya ya kiuchumi ya nchi za Afrika magharibi ECOWAS imesimamisha uanachama wa Guinea katika mkutano wa kilele wa viongozi wa jumuiya hiyo baada ya wanajeshi wa nchi hiyo kuiangusha serikali ya...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Hapo ni list ya nchi zenye umeme wa bei nafuu dunian katika mfumo wa Units Ujerumani ndo nchi ghali zaidi duniani katika umeme kwani units moja huuzwa dola 0.365 huku Sudan,Venezuela, Libya,Iran...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Rais wa Brazil Jair Bolsonaro ametia saini kanuni ambayo inakusudia kuzuia mamlaka za kampuni za mitandao ya kijamii kufuta akaunti na machapisho. Kulingana na ripoti ya BBC, Bolsonaro alisema...
0 Reactions
3 Replies
36K Views
Wiki chache zilizopita zimeshuhudia ongezeko la usambazaji wa chanjo za covid-19, hasa kwa nchi zinazoendelea. Foleni ndefu za watu wanaojipanga kupewa chanjo zinaendelea katika vituo vingi vya...
0 Reactions
0 Replies
892 Views
Patent WO / 2020/060606 imetengenezwa na Microsoft Technology Licensing LLC ……… Microsoft ni ya bill gate, au sio? WO = World Order (yaani New World Order) 2020 = ni patent iliyosajiliwa mwaka...
11 Reactions
64 Replies
5K Views
Wapiganaji wa #Tigray wamewaua raia 120 wa mkoa wa Amhara ndani ya siku mbili. Watu hao walikuwa ni wakulima wa mji wa #Dabat ambapo namba inahofiwa kuwa kubwa kwa kuwa watu wengi hawajulikani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Amesema katiba iliyokuwepo haikuwa chaguo la wananchi na ilikuwa kandamizi , ameifutilia mbali huku akiandaa mipango ya kuanzisha mchakato wa Katiba ya wananchi itakayokidhi matakwa ya wananchi...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Moto ulizuka mapema asubuhi Jumatano katika gereza moja huko Tangerang, mji ulio magharibi mwa mji mkuu wa Indonesia. "Wafungwa arobaini na moja wamefariki dunia, wanane wamejeruhiwa vibaya na 72...
0 Reactions
3 Replies
948 Views
Mahakama Kuu ya Mexico imeamua kuwa uhalifu wa utoaji mimba ni kinyume cha Katiba, kwa kura ya pamoja Jumanne, uamuzi ambao utawawezesha wanawake wa Mexico kote nchini kutoa mimba bila kizuizi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
China, Qatar na Uturuki , Iran na Urusi zatajwa kuwa washirika wakuu wa Taliban katika kuijenga Afghanistan Msemaji wa kundi la Taliban amesema, China, Uturuki na Qatar ni washirika wakuu wa kundi...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Shirika la Amnesty International limesema makumi ya wakimbizi wanaorudi Syria wanapitia madhila mikononi mwa vikosi vya usalama ikiwa ni pamoja na kuwekwa kizuizini, kuteswa na wengine kutoweka...
0 Reactions
1 Replies
896 Views
Leo ni siku ya mwisho ya kuondoka mwanajeshi wa mwisho wa marekani nchini Afghanistan wakiwa wameuliwa wanajeshi 13 kwenye harakati za kuhamisha Raia wakigeni na wakimbizi wa Afghanistan.
5 Reactions
152 Replies
13K Views
Marekani imechanja zaidi ya 50% ya watu wake ambao wanastahili kuchanjwa lakini karibu watu milioni 100 wenye sifa ya kuchanja wamegoma kuchanja ama hawajachanja hadi sasa. Kutokana na covid...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Duru kutoka nchini Afghanistan zinasema kundi la Taliban leo limefyetua risasi kutawanya maandamano mjini Kabul na kisha kuwakamamata waandishi kadhaa wa kiafghani waliokuwa wakiripoti kuhusu...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom