Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wandugu habari za leo! katika pitapita zangu nimekutana na hii multi macca vitamin ikiwa inasifiwa kwa kuleta hamuu na stamini kwenye ndoa. Sijawahi itumia ningependa kupata mrejesho kama...
2 Reactions
11 Replies
3K Views
msaada jamani nimemeza dawa za U.T.I Mchana saiv nitaka ninywe Wine hapa inafaa
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Nimengoa jino,leo ni siku ya nne ,lakini bado sioni dalili ya kupona na dawa zimeisha
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wadau nimekuwa nikifanya haya mazoezi 10km per day kila siku asbh. But magoti yanauma baadhi ya siku. Kiatu natumia raba sole yake inanyama kubwa tu, nakimbia kuzunguka uwanja mpaka 10km itimie...
0 Reactions
17 Replies
3K Views
Habari JF doctors, Tafadhali naomba kuuliza kuwa kuna uhusiano kati ya kitovu kikubwa kwa mtoto na kupatwa maumiv ya tumbo ya mara kwa mara hasa kipind cha baridi?
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Mko poa madr wa jf Wapendwa mimi Nina mtu wangu wa karibu ana tatizo la usikivu yaani hasikii vizuri. Ni tatizo la muda mrefu Sana Sasa swali liko hapa Je Kuna vyakula au vitu ambavyo akila...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Salaam Watalaam wa Tiba na wana-JF kwa ujumla. Bila kuwapotezea muda, ningependa msaada wenu kuhusu ugonjwa wa Kibofu cha Nyongo ambao unamsumbua sana mama yangu. Baada ya kwenda hospitali, mara...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Naomba kuuliza .Madini ya zinc kwenye mwili wa Binadamu yanasaidia nini ?
0 Reactions
7 Replies
14K Views
  • Closed
Kujitenga ghafla na marafiki, familia na jamii Kuongeza kiwango cha matumizi ya #pombe na #DawaZaKulevya Tabia ya ukali ya ghafla na mabadiliko makubwa ya mhemko (mood swing) Tabia ya ghafla...
5 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba anayefahamu hospital nzuri kwa mambo ya uzazi. Kwa mfano kama mtu anahitaji kwenda kupima ubora wa mbegu za kiume.
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Kuna hiki kitu kinaonekana cha kawaida na kimezoeleka na mtu sio rahisi kutokukifanya au kuki avoid. Lakini ukijaribu kukifikiria sana (deep thought) unagundua kuwa ni kitu cha ajabu sana na...
0 Reactions
0 Replies
730 Views
A malaria vaccine has proved to be 77% effective in early trials and could be a major breakthrough against the disease, say its developers from the University of Oxford. Malaria kills more than...
0 Reactions
1 Replies
444 Views
Habari, Wakuu naomba msaada. Mwanangu mwenye umri wa mwaka mmoja na nusu amekuwa akitokewa na vipele miguuni (rejea picha hapo chini), akivikuna vinakuwa kama vidonda. Usiku vinamuwasha anateseka...
1 Reactions
2 Replies
3K Views
Natanguliza na salama kwa WaJF wenzangu. Juzi nilijisikia kuwashwa mwili mzima na nikijikuna sifuri wala hapatokei vipele nilienda hospitali nikachomwa sindano. Baada ya wiki nikaanza kusikia kwa...
0 Reactions
8 Replies
849 Views
Habari wanaJF mimi ni mwanamke ambaye matamanio yangu ni kupata mtoto lakini juhudi zinagonga mwamba sasa nahitaji kujua gharama za kupima hormone kama zipo balance au lah! Pia na gharama za...
3 Reactions
33 Replies
8K Views
habari wana Jamvi Naomba kuuliza! Nimefanyiwa operation ya hernia week ya tatu hii. Tatizo ni kwenye korodani Kuna uvimbe mgumu Sasa nimemuulizia doctor kasema utaisha tu wenyewe. Je na uliza ni...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Habarini za siku, mimi nina mwili mwembaba nimeambiwa nitumie iyo kitu ya kuitwa WHY-PROTEIN POWDER ili kupata mwili mkubwa na ulinawili Naomba kujua je kuna madhara makubwa kutumia iyo kitu au...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Fenesi ni moja ya tunda ambalo mti wake ni mkubwa na wenye majani ya kijani kibichi. ndani ya tunda la fenesi huwa kuna mbegu . Tunda hili hupatikana sana katika maeneo ya Asia na ni mojawapo ya...
3 Reactions
36 Replies
8K Views
Msaada nina shida ya kuwashwa na mwili. Sehemu zinazoniwasha ni tumboni chini ya kitovu na mapajani kiasi kwamba zinatoka kama upele. Nimeenda hospital nimeambiwa nimeze dawa za minyoo na dawa...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
RED BULL Huuzwa katika maduka makubwa (Supermarkets) na madogo (Retail Shops) katika nchi ya Tanzania na watu wazima na watoto wetu wengi wana mazoea ya kunywa kinywaji hiki ambacho kinaweza...
26 Reactions
91 Replies
27K Views
Back
Top Bottom