Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wadau naombeni tuelekezane aina ya vyakula na virutubisho vinavyohitajika, na ni kwa kiasi gani kwa mlo mmoja au kwa siku nzima. Nawasilisha
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Habari za muda huu wanajamvi. Niingie moja kwa moja kwenye lengo mahususi la uzi huu. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza. Leo ni siku ya tatu kuna maumivu yamezuka ghafla mithili ya mtu...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari mkuu, Naomba msaada nina mtoto wa miaka 4 na nusu ana tatizo hajaongea na uelewa wa mambo kama kujisaidia, Nachomtuma bado hana pia hana utulivu hata darasani hapendi kukaa kusikiliza ila...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Siku zote nilikuwa sikubaliani na madai hayo.Kwa mara ya kwanza leo,nimesanda.Pamoja na hayo yote, hakika yahitaji moyo, kufanya mapenzi kwenye kipindi hicho cha hedhi. Kipindi cha hedhi,hata mke...
0 Reactions
117 Replies
26K Views
ALAMA/ISHARA/DALILI ZA MWILI WAKO ZITAKUFAHAMISHA OVULATION IMEWADIA OVULATION ni hali ya kutoka kwa yai la kike baada ya kukomaa kutoka kwenye follicle baada ya kukua na kukomaa katika...
4 Reactions
7 Replies
39K Views
Wakuu nina tatizo la kuwashwa sehemu zote za mwili, Hii hutokea kama sijanywa pombe ila nikinywa pombe tatizo huisha, pia pombe ikiisha mwilini ama kichwani tatizo hujirudia. Na mimi ni mnywaji...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari za saa hii Naomba kusaidiwa mwanangu wa kike amebakwa na mtu bahati mbaya mtu huyo aliyembaka amekimbia. Nimechukua PF3 polisi nikampeleka zahanati nimeambiwa huduma atapatiwa kesho...
3 Reactions
29 Replies
5K Views
Kwa mtu anayefahamu anisaidie dawa nina mdogo wangu yaani imekuwa nii kero kwake mpaka anashindwa kuwa huru sababu ya jasho hilo.
0 Reactions
26 Replies
9K Views
Kuna jamaa yangu amejijengea tabia ya kutumia Valium kila wiki vidonge viwili. J.tatu usiku kimoja na Ijumaa usiku kimoja. Anasema ana zaidi ya miaka kumi amekuwa akifanya hivyo. Amejaribu sana...
0 Reactions
9 Replies
17K Views
Habari ndugu zangu, pole sana na majukumu. Ni matumaini yangu nitapata msaada hapa kutoka kwenu. Nafanya kazi katika Kampuni kubwa ya michezo ya bahati nasibu, hivyo basi huwa kuna shifti kama...
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Wakuu nahitaji kulisha ubongo wa kabinti kangu ambako kana takribani miaka mitano ila nahitaji kawe genius school na nyumbani pia. Hebu nipeni muongozo kwa wataalamu wa haya mambo vyakula gani...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari ndugu zangu! Nimesumbuliwa na meno muda mrefu hadi imefikia hatua nimeshachomoa meno manne (4). Kwa sasa nahitaji kuweka meno ya bandia. Je, yapi madhara yake? Wakati wa kula inabidi...
1 Reactions
30 Replies
14K Views
Hellow Natumai kila Mwana Jamvi yuko poa kiasi. Leo nimejiskia niwashirikishe swala hili. Katika jamii zetu kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na ajali nyingi za vyombo vya moto hususani...
1 Reactions
7 Replies
4K Views
Wadau kuna rafiki yangu kanishauri niwe angalau kwa siku ninywe juisi ya unga wa ubuyu eti ni nzuri kiafya na hakuniambia kwa kina faida yake. Mwenye kujua tujuzane tafadhali faida ntakayoipata...
2 Reactions
31 Replies
60K Views
Taarifa fupi ya mgonjwa anayehitaji damu kundi O- leo 28/10/2019. Huyu ni mkazi wa Mara aliyafanyiwa uhamisho kuja hospitali ya rufani (Bugando). Anasumbuliwa na figo pia anatakiwa kufanyiwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Mwanangu wa kiume 20 months anasumbuliwa na ngiri (Hernia). Inambana analia sana na kutapika, dawa tumekosa. Naomba msaada wa kitaalam wengi wametushauri afanyiwe operation lakini hatuna Daktari...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
jamani habari za saa hizi mpenzi wangu hajapata siku zake mwezi sasa hivi ina wezekana ana mimba au?
1 Reactions
17 Replies
3K Views
KWAMBA KUTOA MBEGU ZA KIUME AMA WAKATI WA KUFANYA TENDO LA NDOA, KUPIGA PUNYETO, AU KUJIKOJOLEA (MBEGU ZA KIUME) USIKU INAPUNGUZA UWEZEKANO WA KUPATA KANSA YA TEZI DUME Your man now has the best...
0 Reactions
1 Replies
35K Views
Back
Top Bottom