Ndugu wana JF
Kuna taarifa ambazo sijazithibitisha kwamba, Malkia wa Uingereza anamiliki Eneo Kubwa sana Ndani ya Nchi yetu, ambapo Hata Serikali yetu haina Mamlaka ya Kuingia.
Eneo...
Kuna trend inazunguka mitandaoni kuhusu mbinu za China kuitawala Afrika. Nami naileta humu tujadili. Kwa maoni yangu yawezekana kwa sababu kuu mbili, nikirejea mradi wa bandari Mbegani na Wachina...
Hello Memba
Nipo nafikiria sana ila nashindwa kupata jibu nategemea memba wa JF watakuja zaidi na majibu mazuri yatakayo nisaidia kupata mwanga wa thinking pengine ikapelekea kudevelop theory...
Suala la watawala kuwa na wapelelezi ni jambo lilioko kwenye jamii kwa maelfu ya miaka tangu pale Jamii ya binadamu ilipoanza kuishi pamoja na kuwa na mfumo wa kujiongoza. Jamii duniani kwa miaka...
Habari Wana JF,
Kuna Majengo Na Maeneo Mengi Hasa Yanayo nasibiana Na Wahindi Hasa
Kwenye Milango Au Magari Huwa Kuna Namba Hasa Hii 786 Ipo Maeneo Mengi Sana Ningependa Kujua Inahisiana na Nini...
1. Hayupo mtu atakayekupenda kama mama yako mzazi.
2. Masikini siku zote hana rafiki.
3. Watu huheshimu pesa zako, hawakuheshimu wewe.
4. Yule unayempenda sana ndiye atayekuumiza sana.
5...
Kwa mujibu wa Biblia takatifu Mungu aliumba Dunia kwa siku sita na kumpumzika siku ya saba kulingana na kitabu cha Mwanzo.
Lakini kuna dhana ya kwamba siku moja mbinguni ni sawa na miaka elfu...
Nilifurahi sana kusoma andiko la ndugu Mpoki Zakayo la hivi karibuni; andiko ambalo lilielezea vema utata wa kifo cha 'legendary' wa vita, Napoleon, kilichotokea tarehe 5 May ya mwaka 1821...
Kuna mti mmoja (jina lake linahifadhiwa ) unapatikana porini, mti huo ukikomaa, urefu wake hauzidi wa mtoto wa miaka saba, una magamba kwa mbali na rangi yake ni nyeupe.
Mti...
Najaribu kutengeneza "historia fupi ya mafisadi" (A Brief History on Corrupt Officials".. Na nimechagua kuanzia 1997 (there is a reason for that).
Najua wachache walikuwa nani:
Ningependa hasa...
Wanajamvi habarini na asubuhi.
Naomba niandike uzi wangu wa mwisho kwa mwaka huu, lakini uzi wenyewe unanichanganya sana kwamba BINADAMU WA KWANZA KUWEPO DUNIANI ALIKUWA MWEUPE (MZUNGU) AU...
"Bad thing we are sleep"
And
"Good thing we can wake up"
and change the whole system.
We are not doing anything while our whole life is full of inequalities everywhere within our country as...
Ni kweli kuwa Dunia yetu Ina umbo la yai, hii inapelekea baadhi ya maeneo Duniani kuwa na Usiku mrefu kuliko mchana au Mchana kuwa mrefu kuliko Usiku, na sehemu nyingine kwa kipindi fulani kuwa...
Muhandisi Nils Bohlin Mswideshi aliyekuwa akifanya kazi na Kampuni ya Volvo ndiye aliyegundua Mkanda wa Abiria wenye vituo (Vizuizi) vitatu (three-point safety belt).
Huyu Jamaa Alisoma Diploma...
Wanaopinga uwepo wa Mungu, ukiwauliza kuhusu asili ya huu ulimwengu na jinsi ulivyo katika mpangilio ambao hauna dosari ndani yake, watakwambia ni nature au coincidence.
Mimi mtu akinambia hivi...
Chombo anga kwa ajili ya kusaidia shughuli za kiuchunguzi katika anga la mbali James Web TELESCOPE 🔭 kimeondoka rasmi duniani na kuelekea katika eneo lake la kiuchunguzi huko katika space mile...
Ukweli halisi ni kwamba Kila mtu anaiona dunia kwa namna yake,kulingana na akili yake, ama katika kuwaza jinsi maisha yanafananaje kinamna ya yeye !
Nikiwa katika hali ya utulivu mwingi, ndani...
Ahalan wasahlan wamarhaban bikum!
Wapendwa wasomaji na wenye hamu ya kufahamu mambo mbali mbali, nimependa kuwaletea mada hii ili kuweza kujua mbinu mbali mbali wanazotumia binadam wenzetu wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.