Maisha ni fumbo kwa kila mmoja wetu, na kila mwanadamu anaishi kwenye ulimwengu wake katika maisha yake. Fumbo la maisha ni kubwa na haijawahi kutokea mwanadamu ambaye ameweza kutoa mwanga...
Niliwahi kupata simulizi fulani kuhusu watu kushiriki kwenye misheni za kijasusi bila ya wao wenyewe kufahamu kuwa wanatumika kwenye misheni hizo. Pengine hata wewe msomaji ni mmoja kati ya hao...
Moja ya jambo ambalo nakaaa muda na kuwaza ni kuwa Maisha na vilivyomo ndani yake.
Niukweli usio pingika na Uko wazi kuwa haya maisha yanatuendesha yatakavyo.
Naukifuatilia kwa karibu ni kuwa...
B-2 bomber ndio ndege hatari zaidi ya kivita kuwahi kutengenezwa duniani, ndege hii hujulikana sana kwa jina la (Popo) kwa sababu inafanana na popo kiumbo. Ilianza kutengenezwa kipindi cha vita...
Nami Josephat Keraryo Nyambeya.
Kama nilivyoahidi juzi baada ya kutoa uchambuzi kiduchu juu ya bomber (B-2) ya Marekani nilisema nitakuja na uchambuzi kiduchu juu ya Tu-160 kutoka Urusi ili...
Leo sita andika mada ndefu bali nitatoa ufafanuzi mfupi kuhusiana na hii namba ya mnyama 666. Nitatumia mstari ulioipa umaarufu mkubwa hii namba kutoka katika kitabu cha biblia.
Namba ya mnyama...
Hapo Mwanzo kulipangwa tusiwe na Mwisho ila kwa sababu ya kuto kutii kwetu basi tunahukumu
Juu ya kile chochote tukifanyacho kwa kukusudia au kwa bila kukusudia iwe jema au baya yoote yanalipiwa...
ADOLF HITLER NI NANI KTK HISTORIA YA DUNIA?
Wanahistoria Na Watu wengi Duniani wamekuwa wakisimulia kuhusu Maisha ya Dikteta Adolf Hitler Wa Ujerumani .Leo Ninamuelezea kwa kifupi Hitler...
Habarini za muda huu,
Kumekuwa na Vita nchini Ukraine ambapo majeshi ya Ukraine yanalinda nchi Yao dhidi ya uvamizi wa Rassia katika nchi Yao.
Dhamira ya nje ya Ukraine ni kujilinda dhidi ya...
Lengo kuu la kujamiana ni moja tu nalo ni kuzalisha binadamu wengine ili waje hapa duniani. Unajamiana ili uzalishe tu watoto hapa duniani ambao hata wewe mwenyewe hujui kwa nini unazaa na...
NINI KITATOKEA TUKILIMWAGIA JUA LETU MAJI❔
Endapo tutafanikiwa kutafuta ndo au diaba kubwa lenye ujazo sawa na jua kisha tukajaza maji humo baada ya hapo tukaenda tukalimwagia jua maji ...
Kabla sijaelezea kinagaubaga kuhusu kichwa cha uzi ningependa Kwanza niandike mtazamo wangu na jinsi ninavyoelewa kuhusu Mungu.
Kiufupi unaweza nitafsiri kama "Agnostic",lakini tafsiri hii...
Kufukiza ubani.
Kwa wakatoliki, sijui kuhusu makanisa mengine; ubani ni sehemu muhimu katika ibada ya misa.
Nimeona na kusikia pia, ubani hutumika katika kuyaita/kuyapunga majini.
Sasa swali...
Ni simulizi ya ulaji njama ambayo bila shaka imevuma zaidi kushinda njama nyingine zote. Ni wachache sana ambao hawajawahi kusikia kuwahusu Illuminati.
Huaminika kuwa kundi maalum la watu ambao...
what do you have you to say on this incidence?
One story about Jesus in the bible that is confusing and incoherent is the story of the fig tree. Matthew 21:18-19 states, "Early in the morning, as...
Habari zenu wakuu
Poleni na majukumu ya kujenga taifa .
Kuna video hii ya [link] YouTube,[\link]
Baada ya kuitazama ningependa tuitathimini Kwa pamoja humu
Uhalisia wake ??? na
Technology...
Destiny yaani karma au hatima ya mwanadamu ni jambo linalothibitisha juu ya uwepo wa ukomo wa kila jambo katika ulimwengu huu, hivyo basi hili kuzuia hatima isiendelee kukuwinda ni lazima u-push...
Wakuu ni hiki, kila unayemuona hapa duniani jua kabisa ana Batch Namba yake. Hatupo duniani hapa kiholelaholela tu. Tuna batch namba ambazo zimebeba taarifa zetu zote.
Aliyekuleta hapa duniani...
You can be identified by your heartbeat and your gait. You can be identified by your fingerprints and iris patterns. And you can always be identified by your smartphone broadcast unique number...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.