Tukiwa tunaendelea kushuhudia joto la uchaguzi ndani ya ccm wamejitokeza wagombea wa kila aina ili kuliongoza taifa letu.
Hivi mgombea kama huyu hapo chini mnategemea anaweza kutupeleka wapi...
Ukimya wa CCM kwenye kuteua wagombea una jambo nyuma yake,sio bure!
Kwa nyepesi nyepesi zilizoko mtaani ni kuwa majimbo karibu yote rushwa imehusika!
Je, itakuwa funika kombe?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.