kina dada wenzangu mnadhani hii inatokea kwa kiwango gani?
let say ktk pair ishirini za wapendanao mnadhani ni ngapi ya ishirini ya wanaume wako kama huyu bwana.
Utajuaje kama mpenzi wako...
Wanajamii, kwa wale ambao wenzangu na mie ambao tulikuwa bado hatujaona aina hii ya kaburi. Naona binadamu tunapoelekea sipo. You can imagine kaburi lina hadi flat screen na DVD Player... ha ha ha...!
Mkazi wa Kijiji cha Malowa, Kata ya Kibati, Wilaya ya Mvomero, mkoani Morogoro, Mwanahawa Rashid (katikati) akiwa amebebwa na kijana anayefanya shughuli za kuwavusha wananchi ndani ya mto...
mabinti hawa majuzi walikabidhiwa nondo walipomaliza elimu zao huko INDIA...kwa kweli nawapongeza bila kujali mmezipataje..siitaji kulinganisha uchafu unaofanyika UDSM na india maana sijafika na...
Wakazi wa Kijiji cha Samunge wa kabila la Wasonjo wakifurahia huduma ya mawasiliano ya simu baada ya kampuni ya simu ya Airtel kuzindua mnara wa mawasiliano kwa wakazi wa eneo hilo na maeneo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.