Mwigizaji Maarufu Kanumba akicheza muziki siku ya Kaole Day, hii nimeipenda sana wasanii wengi waliopitia Kaole pia walikuwepo, Hongera sana msiache mbachao kwa mswala upitao.
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akikagua Bajaj ambayo imetengenezwa ili kumudu kazi ya kuzima moto hasa kwenye maeneo yenye barabara nyembamba katika maonesho yaliyoandaliwa na Kampuni ya Spray and...
Jamani hii picha nimekutana nayo ningependa kuwajua hawa waliopiga picha na mwenyekiti wa chama cha mapinduzi kama kuna mtu anawafahamu kwa majina tafadhali.
,Nimepata mesage huyu jamaa ni designer,Natafuta contacts ya huyu designer, kuna ndugu yangu angependa kuandaa harusi na mavazi itakuwa ya asilia as these
Ujaji mgumu jamani ukimtazama Mheshmiwa Jaji Mama Angela Kileo hapo hajajiremba kitu chichote hakuna cha kusuka hata twende kilioni, hakuna wanja wala lipshine wala mkufu wala make up ya aina...
Je kwa mwendo huu kweli mambo yatakwenda? Nahisi hawa ni mamluki wa chama cha rangi za kijani waliotumika kuzomea kwenye kongamano pale UDSM.................
Poleni kwa kazi na starehe, sasa naona vikombe vimekuwa ndo deal ya kukimbilia sasa je ni yupi wa ukweli na ni yupi anachakachua wadau saidieni hapa:frown:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.