Picha za sarafu nimeziambatanisha hapo chini.
Muonekano wa mbele. Naona wameweka pembe za ndovu kama moja ya alama za utajiri eti, mambo ya hovyo sana, huyu malkia kachangia sana kuharibu urithi...
Msanii Kipanya anajitahidi kutueleza hali halisi ya kisiasa ilivyo ndani ya CCM mara baada ya upinzani kudhibitiwa.
Sasa ni mtifuano tu ndani ya wanaCCM
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.