Mwana katuni maarufu amekuja na kitendawili kipya kwangu binafsi nimetoka kapa kujua nini anamaanisha.
Mwenye ujuzi na habari picha tafadhali atusaidie.
Ni mwaka 1943, Nairobi. Ilikuwa kipindi cha ukoloni, na hapo ni wanafunzi wakifunzwa namna ya kuendesha gari na hayo mawe kichwani ni wasiangalie chini wakati wa kuingiza gia.
Kwa nini isingepita moja kwa moja hiyo barabara hapo kutoka hapo kuliko wekwa alama nyekundu. Lakini wameizungusha kipi kilikuwa kinatafutwa au kukikwepa?
Mimi jibu langu ninalo kichwani nataka...
dah! Mzee mambo ya kibaharia hayaendi huku watu wanakutafuta,Leo tulitarajia kisulisuli kitupeleke mlima wa Moto lkn hili lako ratiba zimebidi zigeuke.. jitokeze mzee mambo si mambo😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.