Naamua sasa kuaga ukapela nimeamua nije JF kutafuta mwanamke wa kuishi nae na kuanza nae maisha. Kabila langu mkurya na yeye sharti awe mkurya.. Umri wangu 45 , nimtakae awe na 50+
Picha yangu...
Habari zenu humu ndani,
Aisehh kama kichwa cha habari husika hapo juu,leo ngoja niwashirikishe hili,inasemekana kuna close relationship kati ya tabia ya mtu na urefu wa vidole vyako, hebu tazama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.