Nimeshindwa kuichukua kutoka ilipo.
Huyu Afande anaonekana ni kati ya wale wanaosimamia nidhamu, aheria, utendaji na tasnia aliyosomea na hataki kupelekwa ovyo.
Kwa upande wa waliompa kazi...
Wakuu hii picha nimekutana nayo mahala fulani ila nimeshindwa kuielewa ina ujumbe gani.
Naombeni tafadhali mwenye utaalamu wa kusoma habari picha anifumbue macho.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimuapisha Bi.Khadija Khamis Rajab kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Biashara na Viwanda baada ya kumteuwa rasmi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.