Walio wengi tunafahamu jinsi hii timu ya watoto wa mitaani ambayo imefanya maajabu ya dunia hadi kubeba KOMBE LA DUNIA lililohusisha watoto hao. Tangu timu hii ilipoanza kufanya maandalizi yake...
kikosi hakina mabadiliko..
Muda: 16:00 Jioni
Uwanja: Mabatini kibaha
Kikosi cha azam fc dhidi ya ruvu shooting... Team today
1. Aishi Manula
2. Erasto Nyoni
3. Gadiel Michael
4. David...
Naangalia mahojiano kati ya kijana mmoja yuko LONDON na SHAFII DAUDA katika kipindi cha SPORTS BAR YA CLOUDS TV kupitia skype.
Huyu kijana ni mtanzania alikuwa anacheza mpira na ameshiriki COPA...
Hahaha!!!!!!! Wakuu habri zenu nina furaha kubwa sana kuiona man u ikiwa katika heka heka za kucheza au kutokucheza kabxa europa leage. Kwa sasa mech zake ztakuwj alhamis na ijumaa, au kwa lugha...
Ukitaka kujua ujuzi,umuhimu na uimara wa Lionel Messi aka Andunje,basi subiri FC Barcelona iwe kwenye wakati kama wa leo.Wakati ambao wanatakiwa kushinda tu na si vinginevyo. Katika mechi ngumu...
"Jeuri yaiponza Yanga kwa mahakama"
"Mahakama Kuu Kitengo cha Kazi wameiamuru TFF kuikata Yanga Sh106 milioni"
Dar es Salaam. Sakata la Yanga na wachezaji wake Stephen Malashi na Wisdom...
Mbwiga Mbwinguke, mkora nyani kibwaya mkia, Midfield kisheti! Nazitupa tu huku kule halafu naziomba, ni mchakamchaka tu, sako la nani hilo ngedere haponi. Sasa ngoja nikupe kosi...
Wadau oneni wenyewe tabia za wachezaji wa chelsea.
John Terry,mmmh hilo jicho linatizama wapi?
Terry na lampard wakifanya yao.
Luiz naye anamfanya nini mwenzie?
Cahil hadi kamshika...
Leo Jumanne majira ya saa 21:45 kwa muda wa Afrika Mashariki kutakuwa na michezo miwili ya klabu bingwa ulaya.
Mechi ya kwanza ni kati ya Chelsea Vs PSG ambayo itachezwa katika dimba la Stamford...
katika gazeti la mwanaspoti kuna habari kuwa okwi aligoma kufanya mazoezi na klabu yake ya yanga siku ya jumanne akishinikiza amaliziwe fedha yake ya usajili. Okwi alisajiliwa kwa dola 100,000...
By GILBERT WANDERA Nairobi- A Kenyan businessman has given Tanzanian club Yanga a one week ultimatum to refund $20,000 (Approximatley Sh1.6million) over an alleged breach of contract. The...
Nimeshtuka sana leo asubuhi, baada ya kusikia taarifa katika kituo cha RFA kipindi cha MATUKIO -michezo kuwa Jamal Malinzi Rais wa TFF atatoa pesa zake mfukoni kufidia malipo ya kukatisha mkataba...
Jana nilikuwepo uwanja wa Taifa wakati Yanga na Jkt ikicheza kwa 5 na 1 jkt
Ni mwanachama makini wa yanga, kilichonishangaza ni pale tulipokuwa tunatoka nje kikundi cha yanga burudani/...
Wanajamvi habari za Asubuhi.
Mimi niseme wazi kuwa ni mshabiki mkubwa wa timu ya Arsenal kutoka jiji la London.
Nimekuwa mshabiki kwa muda wa miaka 15 nusu ya miaka yangu yote niliyoishi duniani...
WrestleMania 30 results
Hulk Hogan, "Stone Cold" Steve
Austin and The Rock opened
WrestleMania 30
Brock Lesnar def. Undertaker
John Cena def. Bray Wyatt
Cesaro won the 30-Superstar Andre...
For WWE fans:
Yesterday (06-04-2014) night , Daniel Bryan, the leader of the YES YES YES Movement has won the WWE World Heavyweight Champion by convincingly beating Rand Orton and Batista in a...
Leo ndio Leo katika uwanja wa CCM Kambarage Shinyanga baina ya Stand Utd na Toto Africa ya Mwanza. Hii ndio mechi ya mwisho ya Ligi huku Stand ikiwa inaongoza ligi kwa tofauti ya point moja dhidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.