Ndugu wanaJF, kwanza niipongeze sana timu ya Mbeya City kwa uwezo waliotuonyesha Watanzania kwa kuingia kwenye ligi wazima wazima na kutoa changamoto kwa timu kongwe, siziiti kubwa ila ni kongwe...
Wakati wambura anaongelea hili swala
nahisi hamkumpanga vyema
uwezi sematumepeleka machine m ikoani kwa ajili ya majaribio ya tkt za electronic
na unapoulizwa vipi utaifa unaweka wazi nu...
Nimekuwa Nikifuatilia haya matangazo ya magodoro,
Tangazo la kwanza lilimuhsu Shomari Kapombe alipokuwa akikipiga Lunyasi, Tangazo la sasa linawahusu wachezaji Ramadhani Singano na Jonas Mkude...
Nipo Tanga nitawaletea moja kwa moja kinachojiri kutoka uwanja maarufu wa Mkwakwani
wadau wengine kama @mandieta, watu8, Makoye Matale kbm na wengineo tujumuike hapa
Azam 1 Rhino 0 FT
Mbeya...
RAIS Jakaya Kikwete amemshangaa Mwenyekiti wa Simba SC ya jijini Dar es Salaam, Ismail Aden Rage kwa kuitisha mkutano wenye ajenda moja kwa ajili ya wanachama wa klabu hiyo.
Wiki iliyopita...
Leo kwenye uwanja Wa Kambarage kulikuwa na mechi ya Daraja la kwanza kati ya Stand Utd ya Shinyanga inayoongoza kundi kwa point 13 dhidi ya Kanembo Jkt ya Kigoma yenye point 12. Vurugu zimetokeoa...
Shirikisho la Mpira wa Miguu barani Afrika CAF leo tarehe 31 Januari 2014 limeupa kibali cha kuchezea mashindanoya kimataifa yanayoandaliwa na CAF uwanja wa Azam Complex Chamazi na kuufanya uwanja...
Inaonekana anajua sana anachokifanya kwa kukurupuka katika usajili.....
Pale alipo vamia kumsajili Mbuyi Twite ikaonekana kama kwamba kweli amewini kwa kumzunguka Aden Rage kumbe Mbuyi Twite...
Saturday 1/2/14
Ashanti vs Mgambo - Azam Two Simba vs Oljoro - Azam One
Sunday 2/2/14
Yanga vs Mbeya City - Azam one Azam vs Kagera Sugar - Azam two
Wednesday 5/2/14
Jkt Ruvu vs Ashanti -...
Huyu kocha naona kaingia na mikwara sana kaanza mabifu na wachezaji wake..kaanza na Owino sasa naona na mwombeki naye yumo kwenye mkumbo..mi naona wakati mwingine makocha huchangia matokeo mabaya...
Heshima kwako mkuu. Jana kupitia RFA nilikusikia (japo kwa kifupi) ukiwaelekeza vijana huko Mwanza kuthamini elimu, ni jambo zuri lakini nilifadhaika ulipotoa mfano kwa mchezaji wa Man City...
Hapa mtaani kwetu katika utafiti niliofanya nimegundua mashabiki wa arsenal wanaongea Sana,
kwanza wanadhani wameshabeba ubingwa eti kisa wanaongiza ligi kwa tofauti ya point moja ambapo mda...
HATUTAKI, na tena hatutaki hata
kusikia. Na ikiwezekana msirudi tena.
Ndivyo ambavyo mapovu yamewatoka
mdomoni watu wa Manchester United
baada ya PSG kurudi mezani juzi
Jumapili na ofa ya...
Katika Makala ya kuelekea Brazil Juma lililopita mtangazaji mmoja wa TBC alisema Nigeria imewahi kutinga Robo Fainali ya Kombe la Dunia mwaka 1994 na 1998!
Sikuamini Kabisa chombo cha Taifa kiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.