Ni Mbunge na waziri wa uchukuzi Dr. H. Mwakyembe leo ametoa zawadikatka mashindano Kata ya Ipinda Kyela kwa timu zilizofuzu mashino hayo. Mshindi wa tatu kajinyakulia tsh.200,000, mshindi wa pili...
Mrisho Ngassa akiwa katika nyumba yake ya Mwanza
Nyumba nyingine ya Ngasa Mwanza
Moja ya gari za kutembelea za Ngassa ikiwa katika nyumba ya Dar es Salaam, Yombo.
Nyumba ya...
Ni sawa na ule usemi wa nabii akubaliki kwao.Kipa wa zamani wa Simba na timu ya taifa Juma K. Juma amepata timu nchini Congo.
Ni FC lupopo ya congo.
Mkataba wake unaonyesha atapewa $30,000...
Yanga gave out their reasons for rejecting the memorandum of understanding signed between the Tanzania Premier League committee, the clubs representative, and Azam Media Limited. They cited...
Kiungo mtoro wa timu ya taifa na Simba Mwinyi Kazimoto amefuzi majaribio katika klabu moja ya daraja la pili jijini Doha nchini Qatar,na tayari ameshafanyiwa vipimo tangu jana na leo Simba...
makamu mwenyekiti wa azam fc ni mjumbe wa kamati ya ligi..TPL..na pia ni mmoja wa wakurugenzi wa kampuni ya azam media group washindi wa tenda ya kuonesha mpira..ligi kuu tanzania bara..
je...
Taifa Stars tatizo ni Kim Poulsen?
Taifa Stars imetolewa na tayari wadau wanatoa sababu mbalimbali hasa ikizingatiwa katika siku za karibuni ilionekana kufanya vema kwenye mechi za kujipima...
nilishawai kutupa uzi kama huu hapa jamvini na bado narudia tena.... uzuri wa soka statistics ndio zinaeongea!!! tuliwatoa uganda kwenye similar competition tukaenda chan kwa 2 - 0 aggregate na...
Kwa wenyeji wa Arusha,nataka kujua kama kuna football academics za watoto under 14yrs.Mwanangu anapenda mpira na pia ana umbo zuri(umbo la kimagharibi)la mpira sasa nimeamua kumelekezea kwenye...
Na Mphamvu
Harakati si jambo geni miongoni mwa waTanzania. Yapo makundi ambayo yamejipambanua kama makundi ya wanaharakati. Wapo wanaharakati wa mambo ya siasa, haki za binadamu, mazingira na...
While Tanzania was comprehensively thrashed by Uganda and Kenya had to endure an embarrassing exit in the hands of Burundi, Rwanda battled it with Ethiopia before narrowly losing on penalties...
Ukipita mitaa ya jiji la Dar miezi hii utakutana na watu wengi wakiwa busy,wengine kwenye foleni ndani ya magari yao na daladala na wengine kwa miguu huku nyuso zao zikiwa na bashasha.
Ni...
Wakuu,
Napendekeza tubadilishe mfumo unaotumiwa na Kocha wa Taifa Stars kupata wachezaji wa timu yetu ya taifa ya mpira wa miguu.
Mfumo ninaopendekeza ni huu
Kila mkoa upewe jukumu la kutoa...
Nini kifanyike kuhusu soka la mpira wa miguu la Tanzania kwani twaendelea kudidimia, toa maoni yako kifasaha, kisomi na kiutashi ili tuweze kufikisha kwa wausika wachukue hatua, sisi wadau hakika...
Who has pictures of stadiums? www.stadiumzone.weebly.com has a picture of Tanzania's national stadium, but who has other pictures? I also love Old Trafford, the home of Man United.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.