Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Mpaka saiv ni mapumziko kil stars imesha wapodoza gol 1 wanyarwanda amir kiemba.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
LiveScore.com : Africa Soccer Live Scores Its now Kenya(Harambee) Vs Malawi 33' played ,0-0
0 Reactions
3 Replies
4K Views
.... wanatangaza live kutoka Uganda ... lakini mtangazaji na mchambuzi wanaongea tu hadithi na wala hawaelezi mchezaji gani ana mpira.... hasa ukizingatia jezi za wachezaji hazina majina...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, inawezekana hapa ikawa si jukwaa sahihi sana kwa hii post. Lakini nimeiweka kwa kuwa naamini michezo ni siasa, na pengine wazo hili linaweza kuchukuliwa na kupelekwa sehemu sahihi: Timu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ni wazo zuri kubadili upepo wakati huu wa maandalizi ya nusu ijayo ya msimu wa ligi. Lakini nina tatizo kidogo na safari hii... Na kudeclare interest, niko in favor of Simba kwenye derby ya...
2 Reactions
13 Replies
2K Views
Mfungaji wa penalti ya mwisho na ya ushindi ya Zanzibar, Abdallah Othman akikimbia kushangiloia baada ya kumaliza mechi ya Robo Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika Mashariki na Kati, CECAFA...
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Kwa wale mnaofuatilia mechi kati ya Zanzibar na Burundi naombeni mnijuze jamani nini kinaendelea hadi sasa?
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Nilidhani ni yale ya nyimbo za taifa kugoma kupiga siku ya mechi ya kimataifa na umeme kukatika siku ya fainali tu, kumbe kuna hili liliwahi kutokea enzi za mwalimu
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nani mkali
0 Reactions
2 Replies
782 Views
Hizi ni taarifa zilizopo katika tovuti ya Chelsea Adam Nditi, Born on 18 September 1994 in Zanzibar, Tanzania, Adam arrived at Chelsea as an Under-13 and can play either left-back or...
0 Reactions
14 Replies
4K Views
Enzi hizo nikiwa primary na wakumbuka hawa,wengine mwenye kuwajua aendeleze 1.Mohamedhi Mwameja 2.George magere Masatu 3.Deo Mkuki 4.Athumani China 5.Madaraka Suleimani. Mzee wa kiminyio...
0 Reactions
56 Replies
8K Views
Good Friday for Kenya at Dubai Sevens Spain's Marcos Poggi (L) tackles Kenya's Willy Ambaka during an IRB World Series Sevens rugby union match in Dubai on November 30, 2012. AFP By AYUMBA...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Mwenyekiti wa Kamati ya Mashindano na Usajili Abdall Bin Kleb (kushoto) akiongea na wandishi w ahabari leo makao makuu ya klabu, kulia kwake ni kocha mkuu Ernie Brandts TAARIFA KWA VYONBO VYA...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Timu ya rugby ya Samoa ya wachezaji saba kila upande imefanikiwa kutwaa ubingwa wa michuano ya Dubai Sevens baada ya kuwafunga New Zealand kwa pointi 26-15 kwenye mchezo wa fainali uliofanyika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
list ipo kama hivi - Crystal Palace v Stoke City Brighton v Newcastle Tottenham v Coventry Wigan v Bournemouth Fulham v Blackpool Aston Villa v Ipswich Charlton v Huddersfield...
0 Reactions
1 Replies
989 Views
I wish you all a wonderful and joyful Christmas season. GGMU Forever. Cheers,
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Azam FC inatarajia kuelekea Kinshasa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo tarehe 13 hadi 23 December kushiriki mashindano ya Ngao ya Jamii (Charity Cup) Mashindano hayo ambayo yatashirikisha timu...
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Wakuu habar zenu. Naomba msaada wenu kwa yoyote anayejua namna ya ku apply na kupata athletic scholarship zitolewazo nchini USA kwa wanamichezo vijana. Mdogo wangu ana kipaji kikubwa cha soka na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Serengeti kishakula mbili bila na kaaga mashindano ya vijana kuelekea Morocco.. Sijui wataenda kukata rufaa maana ndio mawazo yetu hayo toka gemu ya kwanza. Congo U17 2 - 0 Tanzania U17
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa sasa ni half time, kilimanjaro stars 5, Somalia 0. (Ngasa 3, Boco 2). Vijana wako vizur, inaonekana magoli yataongezeka kipind cha pili. Yap yap, ni kipind cha pili dk ya 58 magoli hayo...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom