Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Katika utafiti mdogo uliofanywa na mimi mwenyewe leo asubuhi,nimegundua kwamba magazeti ya MICHEZO mengi hayauziki kabisa kwani kama ujuavyo MEDIA nyingi za bongo zinashabikia mno YANGA na jana...
1 Reactions
9 Replies
3K Views
http://youtu.be/k6hEAJrCz0A haya ndio maamuzi ya marefa wetu
0 Reactions
1 Replies
812 Views
Its first leg of round one of Europa League. Spurs, whose chance to play in Champions League was overtaken by Chelsea, takin on Lazio at White Hart Lane. Join me for this encounter...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mliopo viwanjani tunaitaji matokeo YANGA Vs MTIBWA na mechi zinginezo,.
0 Reactions
113 Replies
11K Views
Baada ya game mbili za ligi. Simba. Yanga Goals For 5. 0 Goals Against 0. 3 Aggregate: +5. -3 My take: wakati...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Talks of a new contract for Arsenal manager Arsene Wenger further assert the fact that he has the safest job in world football today. And until Arsenal’s second largest shareholder Alisher Usmanov...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
HAYA KWA WALE WAPENZI WA FABO NINAWAPATIA UCHAMBUZI WA KINA WA MECHI. KONG'OLI HAPO CHINI UPATE DATA KAMALI YA JINSI YANGA ALIVYOBUGI. trequatista | Wix.com
0 Reactions
1 Replies
2K Views
James Ingram to perform live at Kasarani in door stadium september 29.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
chezeiya yanga weye mtibwa wamekiona cha moto na penalt wamekosa yanga inatisha wewe.
1 Reactions
1 Replies
884 Views
Na prison 0-0 mtibwa tumeshinda (-3) mungu tujaalie game ijayo tumpige mtu negative 4 na mnyama tumtandike hasi5 au -6
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Wakati kesi dhidi yake ya kutaka kumhonga golikipa wa Mtibwa Sugar Shaban Kado ikiwa haijulikani majaaliwa yake,Ulimboka Mwakingwe amehusishwa tena katika sakata ya kumshawishi beki wa Yanga...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
SIMBA SC itaiwakilisha Tanzania katika Ligi ya Mabingwa Afrika mwakani na kwa sasa inakabiliwa na jukumu kubwa la kutengeneza timu yake hadi kufika Januari wawe wamekamilika. Pilika za kutosha na...
1 Reactions
12 Replies
4K Views
Katika hali ya kuonyesha wamejizatiti kuchukua ubingwa wa Ligi kuu bara bingwa wa A.MASHARIKI YANGA leo wameanza vizuri kwa kuchukua point moja dhidi ya timu ngumu(iliyopanda daraja msimu huu) ya...
1 Reactions
31 Replies
4K Views
Wakati Simba wako Sudan kucheza na Al Ahly Shandy. Katika kuwatoa mchezoni Simba Shandy walitumia fitna nyingi sana ikiwemo kuwalaza Simba katika hostel. Hali iliyopelekea Rage kulala reception...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mabao mawili ya Messi,moja la Adriano na moja la David Villa yalitosha kuipa ushindi Barcelona wa 4-1 nyumbani kwa Getafe. Bao la Getafe ni la kujifunga la beki Javier Mascherano. Wakati...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kweli soka letu litazidi kurudi na kamwe halitasonga mbele. No wonda kila siku tunazidi kudidimia ktk viwango wa fifa. Inatia aibu na haiingii akilini kamati ya sheria ya tff kutofuata sheria na...
1 Reactions
32 Replies
3K Views
Kenya's Kayange to lead Bristol rugby team By AYUMBA AYODI sayodi@ke.nationmedia.com Posted Tuesday, September 11 2012 at 19:47 In Summary The 30-year-old centre, who captained Kenya to...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kama kuna mtu ameandika historia mbaya ya uongozi wa soka hapa nchini ni huyu bwana. Katika kipindi chake akiwa kama katibu ameshindwa kuwa thabiti na kusababisha migongano ya hapa na pale kati ya...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
MWENYEKITI wa Simba SC, jana amekaririwa na vyombo vya habari nchini akimshutumu mtoto wa kigogo kimoja nchini kumshinikiza Rais wa APR ya Rwanda, Meja Alex Kagame ampeleke Yanga, beki Mbuyu...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Hivi kweli vilabu vyetu vinanufaika na style hii ya udhamini wa hawa wawekezaji kweli ndugu zangu..??? Menadhani faida wanayoipata Voda in return ni kubwa kuliko hili changa la macho zinalopigwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom