Juzi vimetoka viwango vya fifa na tanzania imeendelea kuporomoka na moja ya sababu ya kuporomoka ni timu yetu ya taifa kutocheza mechi za kimataifa mara kwa mara.
Kuanzia jana tumeshuhudia timu za...
Wasalaamu wanajamvi,
Nimefuatilia mashindano ya riadha yaliyoisha mwishoni mwa juma Uwanja wa Taifa hapo Dar es Salaam, japo sikuweza kwenda lakini kupitia vyombo vya habari niliweza kujua...
Wednesday, September 5, 2012
NJAA YETU ILIIOKOA MILAMBO KUSHUKA DARAJA BAADA YA KUTEMBEA KWA MIGUU KM 16
Timu ya soka marufu kuwahi kutokea hapa mkoani Tabora...
Pasipo kuweka hdharani mashaka yake kuwa kiwango cha Simba sasa hivi hakiwezi kuwapa changamoto ya mazoezi ya nguvu, Kocha wa team ya Sofapaka aliliambia gazeti 1 la michezo linalotoka katikati ya...
JAMAA ZANGU WATANZANIA JEE HIZO DOLA ELFU HAMSINI ZINAWEZA KULETA MAENDELEO GANI KWA TIMU ZETU ZA TANZANIA ?
Timu za tanzania zinatumia pesa nyingi kusajili wachezaji wa nje ambao baada ya miaka...
Nakubali kuwa kipindi hiki kina umuhimu wake katika kuendeleza na kujadili michezo mbalimba nchini, lakini kinachonikera na kunifanya kupata kizaazaa ni wale wanaoshiriki katika vipindi hivyo, kwa...
Mambo bado magumu kwa Simba kwenye uwanja wa Taifa, ambapo leo inacheza mechi ya kirafiki na Sofapaka, na mpaka muda huu Simba imeshatandikwa magoli 3-0, na kwa hali inayoonekana wanaweza kufungwa...
Wadau wa michezo hususan soka yuko wapi huyu mwanasoka nguli nahodha wa timu yetu ya taifa kwenye miaka ya tisini?Nani anajua alipo kama yuko hai na anajishughulisha na nini?maana ni miaka mingi...
Jamani naomba kuuliza mechi kati ya Tanzania na Morocco katika kutafuta nafasi za World cup itachezwa lini? Kama tunavyojua wikiendi hii ndo mechi za kusaka watakaokwenda World cup zimechezwa...
1.young african
2.coastal union
3.simba sports club
4.african lyon
5.azam fc
6.ruvu shooting.
Nb.msimu uliopita nilisema kati ya yanga au simba angekosa nafasi mbili za juu kwa azam kuchukua...
Baada ya ushindi rahisi dhidi ya team ya mtaani sijui Unga Limited ya Arusha na ushindi wa tabu dhidi ya team dhaifu ya Ligi kuu ya Tanzania Bara JKT Oljoro,uliofatiwa na kulazimisha sare dhidi ya...
Hizi nimezipata toka chanzo kimoja cha habari,ila kuhusu swala la YONDANI Yanga wamepewa muda mpaka tar 9 mwezi huu ili wawe wamevunja mkataba wa YONDANI simba.
Chanzo hicho kinaendelea kusema...
Nawasalimu wana JF!
Kuna tukio ambalo si la kistaarabu kwenye soka,ingawa watu wa ndondi kwao inaweza kuwa sawa.Kama kuna kumbukumbu wakati ligi kuu ya Vodacom inaishia msimu uliopita kulitokea...
Muda mrefu sasa wadau wa soka wamekuwa wakilalamika kiwango kibovu cha soka nchini Tanzania na kutupia lawama kwa viongozi wa vilabu,makocha na wachezaji lakini kuna jambo moja ambalo...
Ubabaishaji mkubwa ndani ya TFF ambao wanadhamana kusimamia maendeleo ya mpira wa miguu Tanzania utaangamiza soka letu. Wakati dirisha la usajili lilipofungwa, TFF waliongeza muda wa usajili kitu...
Yanga wanaweweseka sana na rage, kwan sasa wamekuwa ndo waongeaji sana kuhusu rage ooh aondoke simba kwa vile anahiujumu simba. Mbona sisi wenyewe hatuon alipotuhujumu? Simba sio kama nyie yanga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.