TANZANIAN football suffered a huge blow after the national soccer team, Taifa Stars, were eliminated from the 2013 African Cup of Nations qualifiers, only a day after their female counterparts...
Kuna webpage nadhani alikuwa anaihariri Mtazamaji ya teknohama bongo , toka jana husiku nikiigoogle ina nilepeleka kwenye link hii >>>(x10Hosting Account Suspended).
Hivyo nilikuwa na muuliza...
Jamani leo dada zetu wanacheza na Ethiopia kuwania nafasi ya kushiriki fainali za AWC. Tafadhali tunomba updates kwa wale mlio uwanjani au mnaosikiliza radio....:amen:
HARRY REDKNAPP was tonight SACKED by Tottenham Hotspur
The 65-year-old yesterday insisted he would never walk out of White Hart Lane.
But Redknapp was dumped following showdown talks with...
Eti "TAIFA STARZ!" lina faida gani Ktk kujitangaza kimataifa.Kwanza jina lenyewe "kiswanglish".Hebu badilisheni bwana! Mfano kuna watu hawajui mlima kilimanjaro upo nchi gani,kwanini tusiipe timu...
Ndg zangu tuzo hizi zimefana sana, kwa vinywaji hasa bia za serengeti breweries, hadi chakula pia kinatolewa.
Kilichonishangaza yawezekana sikusikia vizuri, nitaomba kufahamishwa kwa ufasaha...
Ndg zangu tuzo hizi zimefana sana, kwa vinywaji hasa bia za serengeti breweries, hadi chakula pia kinatolewa.
Kilichonishangaza yawezekana sikusikia vizuri, nitaomba kufahamishwa kwa ufasaha...
Roberto Di Matteo has become full-time Chelsea manager on a two-year contract.
The Italian guided the west London club to FA Cup and Champions League success after taking over from Andre...
Habari wana JF, nafuatilia kwa makini kipindi hiki cha usajili wa wachezaji wa timu zetu kuelekea msimu mwingine wa ligi kuu ya Tanzania kwa timu zetu hizi za Bongo. Ukifuatilia kwa kina utaona...
Kuna mtu aliwahi kutoa pendekezo humu kuwa Simba ianzishe mashindano maalumu kwaajili ya kuuenzi mchango wa Mafisango lakini naona tumeutia kapuni mazima.
Jamani ni ukweli usiopingika kuwa jina la...
Mutai finished fifth in defense of his London title in April thereby missing out on automatic selection
World silver medalist Emmanuel Mutai has been drafted in the Men's marathon team for this...
Leo ni leo. Asemae kesho ni mwongo!
Harambee Stars wanakipiga na Brave Warriors leo huko Windhoek, Namibia, kugombea nafasi ya Kombe la Ulimwengu 2014.
TIMU ya soka ya Taifa Zanzibar, ‘Zanzibar Heroes', inaongoza katika kundi "B" la michuano ya Kombe la Dunia kwa nchi zisizo wanchama wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa), (VIVA World...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.