JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mama mmoja alikuwa akihisi mumewe anatembea na hausigeli wao. Wikiendi moja bila mumewe kuwepo nyumbani wala kujua, huyo dada akamwambia mfanyakazi aende kwao siku mbili mapumziko. Usiku yule mama...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Zikiwa zimebaki dakika chache kabla ya mgomo wa madaktari kuanza nchi nzima rais wetu ametoa nafasi kwa wagonjwa mahututi kupelekwa india ili kuepuka zakhama itakayowakuta wakati wa mgomo' huu ni...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
...kwenye nyumba za ibada ukitaka kuchambua wanaume waliovaa suruali nyeusi, idadi itakua juu... ofisini...vivyo hivyo... mtaani kitu kilekile... kuna kitu chochote nyuma ya hili jambo?
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Neno..kupiga/kuwapiga/kumpiga bao A. kuwapiga bao = kuwafunga au kuwazidi ujanja B. kupiga bao = kufunga kwenye mechi ya mpira C. kumpiga bao = kumpiga mtu kofi NENO moja ...maana kibao!!!
0 Reactions
47 Replies
9K Views
....siku ya kwanza kuiona...ilikuaje?
0 Reactions
78 Replies
4K Views
“Tunamwitaji atakayeoteshwa kuhusu ‘dawa’ ya kumaliza matakataka mijini. Na mwingine aoteshwe ‘dawa’ ya kuwaondoa wapiga debe mijini. Mwingine aoteshwe ‘dawa’ ya kuwaondoa wafanyabiashara...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
ziko 3 tu lakini Bomba
0 Reactions
45 Replies
4K Views
Kuna mwanaume mmoja aliamua kusafiri na mkewe kwenda kuwaona wakwe zake. Walipokuwa njiani gari likapinduka wakawa wamejeruhiwa na fahamu kupata mushkeli. Mke: Mume wangu umekufa? Mume:Kwani...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimechelewa ahadi ya kukutana na shemeji / wifi yenu mtarajiwa kwa dakika 10 tu nimekuta kaondoka na sms zinamiminika nyingi zikimalizia na asante / thanks. nakosa usingizi leo.
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Amkeni jamani.
0 Reactions
60 Replies
4K Views
Umeme ulkatka kanisani,ghafla ukarudi! Mchungaji akasema,"kumamaye,umeme huo umerudi" Alickika mzee wa kanisa akiuliza kw hasira,"ni ****** gani anatukana kanisani?" Mmama mmoja muumin kwa hekima...
0 Reactions
0 Replies
954 Views
Naonaga kila MADA UPO NA MDA WOTE NDANI YA JF? HIVI MWENZETU UNATAFUTA RIZIKI YAKO SAA NGAPI?
2 Reactions
77 Replies
5K Views
Nimechoka na udaku unaohusisha visa vya mapenzi na ngono. Mara eti huyu kafumaniwa na mke wa mtu, mara eti yule kambaka mkewe nk. Nakuletea aina mpya ya udaku unaohusu wanaJF kwa jinsi...
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Jamani naombeni msaada nimeboeka hadi basi na hasira juu hv hawa wenyehii supermarket wanataka watu waende pale kuuza sura tuu? Kwasababu mimi sijawaelewa kabisa maana yao ya kutangaza kwenye...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
0 Reactions
29 Replies
7K Views
Watoto wa siku hizi waliozaliwa kipindi cha jakaya wenyewe wamejikita kwenye bongo fleva za akina diamond na ali kiba. Sidhani kama wanapata ladha tulioipata sisi Nakumbuka mimbo tuliyokuwa...
0 Reactions
122 Replies
8K Views
Padri alipotea mjini center, akamuambia kijana mmoja, naomba unifahamishe posta ilipo, kijana akamfahamisha mpaka akapajua. Padri akamjibu asante kwa kunionesha njia na wewe njoo kanisani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
NJOONI TUCHEKE JAMANI,NAJISIKIA KUCHEKA NAOMBENI MNITEKENYE KIDOGO. MIMI NAANZA HIVI Kichaa alikuwa ufukweni mwa bahari akiwaza.. Jamaa akamuuliza "Unawaza nini?!"... Kichaa akajibu...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
pendekezeni hapa , zawadi yake nitamtoa out...au kama hatataka atachagua mtu wa kutoka naye out kwa gharama za double biii
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom