haya baada yakutafakari muelekeo wa siasa za nchi yetu ninahisi kuwa kuna uwezekano wa uhusiano wa Jina la kiongozi na hali ya nchi, kwa mfano Nyerere na swala zima la ujamaa jina likiwa na asili...
Mamb ni vije? Kwenu Jf members eeba! Wakuu mi nimeleta thead hapa jamvini tofauti na wengine mimi ¤napenda sana kuishi vijijini ¤napenda kumtumikia mungu¤sipendi sifa¤napenda kuchati with...
Smile jamvini karibu, Japo waona aibu.
Mimi si mtabibu, Ila mama Umemtibu.
Member wote tuliomba, Mama apate kupona.
Sina haja ya kupamba, Kila mtu aliona.
AshaDii alikwambia, Mungu ataporidhia...
Jamani, siku ndio hizo zinajivuta. Hebu chagua wa kwenda kutembea nae siku ya valentine ila awe ametoka humu.
NB: Matembezi ni humu humu, mkiamua kwenda chit chat hakikisha na partner wako...
Nimekutana na hii maneno nimeona niwajuze ili mtu usije ukaumbuka bure na haya ma-CCTV camera. Aibu kweli jamani!
Hebu angalia mwenyewe uone mtu alivyoumbuka hapo. Link Lauderdale Rolex Thief...
Leo mchana nimepata kitu kilicho nishutua sana kuwa eti mafisadi baada ya kuona account zao zita taifishwa nje/ndani wameamua kuzihifadhi pesa zao kwenye simu/laini ya kila mmoja wetu. Ambaye...
WanaJF wenzangu habari za mida nimekumbuka mbali sana mara tuu nilipomkumbuka marehemu mjombaangu aliyekimbilia jijini hapa tangu miaka ya 1987 baada ya kukorofishana na baba yake mzazi juu ya...
......anauguliwa na mama yake mzazi ambaye alikuwa katika critical condition, lakini kwa sasa she is promising.
Imemlazimu Smile kuchukua likizo kwa muda mfupi ili awe karibu naye katika kipindi...
Hi wanajf katika huu mtandao chini ya neno forum kulikuwa na neno la today's posts kwa sasa ni wiki moja silioni sjui imekuwaje maana hii ilikuwa inasaidia kusoma kwa urahisi posts kwa siku hiyo...
kale nilijua ugoro ni kwa ajili ya babu na bibi zetu (wazee)
ila kadiri cku zinavyokwenda naona soko linakua kwa kasi
naona matangazo ya kuhusu ugoro yanaongezeka...
nimeona ukuta mmoja maeneo...
Huo wimbo hapo chini ni mfupi lakini unamaana kubwa ni zawadi yangu kwenu wana chit-chat, naomba mnipe title na jina la muimbaji :poa
Living everyday as it comes, i wake up early and greet the...
In a battle a general was shot in the butt, and he called a surgeon to treat his wound. The doctor came to have a look, and then cut off the arrow shaft with a big pair of scissors. "Done!" the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.