A lil boy asks a lil girl if she would marry him when they grow up. :mwaaah:
The lil girl answers:
I am sorry, I can't... In my family we only marry our siblings.
My grandpa married my grandma,
My...
Mapenzi bana...yana vituko sana.
Mtu anakuambia 'you are the best I've ever had'!
'Sijawahi kumpenda mwingine kama ninavyokupenda wewe'!
'Wewe kwangu ndo mwanzo mwisho'!
'You are my all and...
Utafanyaje? unapoingia chooni na kukuta mtu kanya pembeni ya choo muda mfupi tu uliopita, unafikiria na unaamua kuahirisha, unatoka. Mara mlangoni unapishana na msichana mrembo unayemtamani siku...
wimbo wa "Lonely boy" by the black keys, yupo mBongo-bongo, hebu mpe kabila LOL
Follow the link below to view the video on youtube
The Black Keys - Lonely Boy (First Listen) - YouTube
naomba kuuliza kwa wadau. hivi ili mtu aitwe jambazi sugu inabidi awe na sifa gani? au afanye mambo gani?.
je hizi ni hatua za kufikia ujambazi sugu? mdokozi-kibaka-mwizi-mwizi...
siku moja kulikuwa na mzungu mmoja na wabongo kibao kwenye daladala ya kuelekea masaki basi ilipofika saa ya kukusanya nauli konda akasikia harufu ya ushuzi, ndipo akauliza nan kajamba.jamaa mmoja...
Leo asubuhi katika kipindi cha mahojiano cha Channel 10, amesikika mtoto wa marehe Sheikh Yahya Hussein akiongelea utabiri wake wa mwaka 2012. Moja ya kitu alichokiongea ni kuongezeka kwa umaarufu...
tafsir ya moja kwa moja!
*katelefon dont smoke my river-kasim usivute mto wangu.
*dont bread your friend millet!-usimkate rafiki yako mtama.
continued!
From day one hiyo Avatar yako ilinikonga plus tofauti za wavulana na wanaume ikamalizia kabisa.
Jiandae nimeamua kuleta posa, sitaki michango ntagharimia kila kitu.
Ya nini nife na kijiba cha...
Hebu fikiria uko sebuleni kwako, uko wewe, mkeo, watoto, wakwezo na marafiki mnaangalia taarifa ya habari kwenye luninga. Mara anatokea presenter mwanaume kwenye luninga kuendelea na taarifa ya...
Jamani nisaidieni! YANI NKISIKIAGA NJIMBO MOJA HIVI YA CDM IITYAYO operation sangara ROHO INATIKISIKA. Kweli siyo kujifanya wala kufanya kampeni. Ila naipenda kinomaa. Ntaacha hata kula hasa...
Mchaga alidumbukia kwenye shimo la maji mkewe alipopata taarifa alikimbia kununua kamba amuokoe mumewe mara baada ya kufika na kumtupia ile kamba mpya yule jamaa akamwambia mkewe hii kamba mpya...
A guy walks into a bar with his pet monkey. He orders a drink and while
he's drinking, the monkey jumps all around the place. The monkey grabs
some
Olives off the bar and eats them, then...
huwa nafuatilia sana kipindi Cha Asubuhi..za dondoo za habari magazetini
angalia hii:
Kurasa za Mbele:KITAIFA
. Magufuli awarushia kombora wabunge wa dar...
Kuna watu wanapenda kupost mada wakisema kwa wanaume tu,au kwa wanawake tu!
Kwa tathmini niliyoifanya kwa muda sasa nimegundua ile jinsia ambayo haihusiki ndiyo huchangia sana hiyo thread kwanini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.