nimepita manzese ajenitina leo wanapouza majeneza nimekuta promesheni ya kuuza majeneza, muuzaji alikuwa ana nadi nunua moja leo upate mawili ofa ya kusherehekea miaka 50 ya uhuru
Tanzania imeshika nafasi ya kwanza kwa kuwa na idadi kubwa ya wanywa pombe za viwandani barani Afrika, ripoti imesema. Idadi ya walevi wa bia imeongezeka kwa asilimia 35 katika kipindi cha miaka...
Nafika posta on ma way to job nagundua nimesahau simu, sasa nikamuona mdada kasimama (simjui) nikamwambia naomba simu yako nimtaarifu mtu aje nayo akasema hana vocha.....
Ikabid ninunue lol, duh...
Michango na gharama za matumizi ya shughuli za kijamii kwa siku hizi ni maajabu!
Mtu akiugua, watu wanavuta miguu sana kuchangia matibabu.Akifa ndio utashangaa budget zinatengenezwa na michango...
[Tough! To marry him three times with the iPhone 4s Siri]
A person from http:// Shop Authentic New iPad 2,New iphone 5,Factory Unlocked iPhone 5,New BlackBerry Playbook from Apple2010.com bought...
Sijui kwanini wanakuita AFRODENZI
Happy Birthday, Pumpkin
Happy Birthday, Dear
Happy Birthday, To You
Happy Birthday AFRODENZI
Your Birthday makes this day all more special and beautiful, may...
Kwenye taarifa ya habari TBC1 leo 23/11/2011 saa mbili usiku,kuna haka kachalii kanaitwa sijui Chifu Msopa kutoka sijui chama cha wapenda amani tanzania (if that is).
Madai yake eti wanaiomba...
Kuna jamaa mmoja alikutana na rafiki yake, rafiki akamwambia jamaa hongera bwana una bahati sana, jamaa akauliza kwa nini, rafiki akasema toka umeoa umekuwa milionea, jamaa akasema nipe pole...
Kikwete: Kwanza napenda kuwashukuru kwa kuonesha njia njema kabisa ya Kuzungumzia Mustakabali wa
Katiba ya nchi yetu. Kwa kweli nimefarijika sana na ninawapongeza sana kwa moyo wa kizarendo...
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Mkoa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Sambwee Shitambala ameendelea kukiponda chama hicho akisema ni cha wanafamilia wanaokitumia kujinufaisha...
A psychology professor at the University of Miami knew his students expected a terrifyingly long final exam.
To play with their minds a little (what do you expect from a psychology professor?)...
Nimeamua kutafuta bunduki hiyo matata kwa ajili ya kujilinda tu, wala si kushambulia. Naomba nisomeke, siku ya Kibamba day nataka niwe nayo ili polisi wasiniguse wala kunisogelea.
Jamani naombeni msaada, huu wimbo nafikiri ni wa Bwana Misosi ulitamba sana miaka ya 90,
kama kuna mtu mwenye link ya You Tube anisaidie, link ninayoipata ni hii Bwana Misosi - Mabinti wa Kitanga...
Wavuta bangi wawili baada ya kuvuta bangi yao wakawa wanatembea kwenye shamba fulani, wakauona muembe ukiwa na embe linaning`inia, wakaanza kulipopoa na mawe, walifanya hivyo kwa muda mrefu lakini...
watanzania wenzangu napenda kuwafahamisha kuwa, jamaa wa chadema walisha kubali kuwa wao wataendelea kuwa wapili tu katika kila uchaguzi wa rais na wabunge hapa nchini,
na ndiyo maana hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.