JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
wana JF, imeikuta hii mahali nikaona niwawekee... Palitokea mkutano wa madactari bingwa kutoka nchi 3 China, Ujerumani, na Tanzania. Wakawa wanajadili mafanikio yaliyofanywa na nchi zao. Mchina...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
haya maisha kama nyoka pangoni mpaka lini.KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI au KIHUNNI CHA CHA MAPINDUZI
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia visa vya huyu jamaa. Jamani naona maisha yake yamejaa wingi wa vituko na vihoja, jamaa ni mjasiri na wala haoni aibu hata kusimulia kwenye kadamnasi yale makubwa...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
nawatakia jioni njema wote .. poleni na bahasha la JAH HERO
1 Reactions
13 Replies
2K Views
TUPO WAWILI PEKE YETU Padri amekaa katika ki-box cha kuungamisha, kanisani hakuna mtu. Mara muumini mmoja akaingia, akapiga magoti upande wa pili na kufanya ishara ya msalaba akaanza kuungama...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Et ni kwa nini reli haina bumps¿
0 Reactions
7 Replies
1K Views
mods sijui kwa nini wametoa mada zako.they were reaaly fun nimecheka sana usiku wa leo ubarikiwe....hahahhaaa half crazy you are reallllllllly fun.....PLEASE BRING MORE STORIES......MIE...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Padri amekaa katika ki-box cha kuungamisha, kanisani hakuna mtu. Mara muumini mmoja akaingia, akapiga magoti upande wa pili na kufanya ishara ya msalaba akaanza kuungama. "padri naungama...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wana Jf naomba kuwasilisha, Kwa uchunguzi wangu wa muda sasa nimegundua kuwa sokoni hasa Arusha na kwingineko kuna wanawake wazuri sana tena wale wenye maumbo ya figa nane hasa zilizojaa...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Licha ya kukwapuliwa simu na vipesa ndani ya daladala lakini matukio haya mawili sitayasahau..... 1..Siku moja j/pili nimetoka zangu kanisani mida ya saa saba, nikaamua kwenda kupunga upepo...
2 Reactions
41 Replies
5K Views
Madaktar bingwa nchi 3..China,Ujerumani na Tanzania wanajadili mafanikio ktk nchi zao..China''tulikuwa na kijana hana mkono tukaweka wa kutengeneza sasa nimpiganaji wa karet.''Mjerumani..bado...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
I asked God for a bike. But I know God doesn't work that way. So I stole a bike and asked God for forgiveness.
0 Reactions
8 Replies
1K Views
A-B=B, BxC=A, D:B=E, CxC=E, C+E=A. Tafuta values za A,B,C,D na E.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Walikutana madaktari watatu kwenye mkutano, Mchina, Mjerumani na Mtanzania, majadiliano yakawa hivi; Mchina: Kuna case moja nchini kwetu, mtu alivunjika mkono ukakatwa, tukamtengenezea mkono wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Mtoto mdogo alimsogelea baba yake na kumwuliza, "Baba, nini Siasa? Baba akajibu, "Subiri nikufahamishe ifuatavyo: Mimi nikiwa ndiye ninayeleta fedha nyumbani, unaweza kuniita Tajiri. Mama yako...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
je ni yupi kati ya hawa ni bingwa wa kusahau 1. jamaa alikua amelala akaamka walipokua amekaa akanza kufikiria juu ya kuwa ni jambo gani alilokua akifanya kwa wakati ule akawa anajiuliza,"hivi...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Nachojua mimi kazi yapaka ni kukamata panya, sasa leo kunapaka hapa home panya kampitia miguuni kabisa, paka kamuangalia kwa dharau afu kampotezea, sijui alihisi akimfukuzia atasweat...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
hivi mtoto ukimwita Mwakajinga anakuwa bado na akili zake kichwani?
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Utafiti uliofanyika katika miaka ya hivi karibuni umebaini kwamba katika maeneo mengi ya wazi na barabarani hakuna vinyesi vingi kama zamani. Eti sababu kubwa ni hali mbaya ya kimaisha kwa vijana...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom