JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna Mzungu alikuja Tanzania kujifunza Kiswahili, alipomaliza kozi yake akiwa airport akaambiwa ongea maneno uliyojifunza kipindi hiki,akaanza Umeme Katika, Umeme utakuja Saa ngapi?,Umeme hamnaa...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
yaani hapa kibaha mailimoja , umeme ukirudi utawasikia watu mitaani wakisema huooooo...!!!
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tanzania ina dini kubwa nyingi ambazo makao yao makuu yako Asia,Ulaya na Marekani ambako kuna matajiri wakubwa ambao wamekuwa wakileta misaada kila mwaka nchini.Lakini misaada hii imekuwa katika...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Tarakimu ya mwisho ya simu yako ya kiganjani zidisha kwa 2, jibu utakalopata jumlisha 5 halafu zidisha mara 50, jibu utakalopata jumlisha umri wako, halafu jumlisha tena 365, kisha toa 615. Namba...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Dear Sir Your most and highly esteemed self. Sir,I refer to the recent death of the Technical Manager at your company and wish to apply for the replacement of the dead manager. Each time I apply...
0 Reactions
1 Replies
775 Views
Do u know that.. Currently Tanzania is the most romantic country on earth because her citizens have their dinner by candle light every evening...
4 Reactions
7 Replies
1K Views
Yule mzee wa vurugu za maono, muumini wa majini ambaye ametutoka, ulishajiuliza angetabiri nini kipindi hiki cha mgao wa umeme? Maana nchi imetulia baada majini na mapepo kupoteza kiongozi...
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Mke wa Kelvin anajivunia mume mtulivu, hashindi baa na hatongozi videmu. Akitoka kazini huenda kucheza basketball na hurudi nyakati za dinner. Siku moja mkewe akamhurumia. Anachoka na kazi. Mtu...
0 Reactions
0 Replies
995 Views
Nimesikia kwamba mabwawa yote ya maji yamotoboka kwa chini yanavuja ile mbaya ndo maana umeme umepungua.hata gasi imeacha kufoka ndo maana mitungi imekauka
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Maiti Yazinduka Monchwari na Kuzua Kizaazaa Monday, July 25, 2011 4:34 PM Mwanaume mwenye umri wa miaka 50...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ngumi za Wanawake Kugombea Kiti Kwenye Treni Saturday, July 23, 2011 7:36 PM Picha hii imechukuliwa huko...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu angalieni hii picha, ya Bendera yetu
0 Reactions
3 Replies
2K Views
du! Naona tanesqo mmeshafanya mambo yenu! Haya bwana sisi wanyonge 2tafanya nini?
0 Reactions
0 Replies
773 Views
unafikiri ingelikuaje kama watu wakifanya tendo la ndoa lile bao linapopatikana lingelikuwa linatoka na mlio kama wa bunduki, usiku ingekuaje?
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Jamaa mmoja alikwenda hoteli hana pesa akataka apewe chakula, akakataliwa. Basi jamaa akawatisha alipowaambia nitafanya kama alivyofanya kaka yangu jana. Wale watu wakaogopa wakijua kwamba jamaa...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
jamani hiki ni kituko cha kweli, jana nimetoka na mwenzi wangu tukaenda kusalimia ndugu fulani ambao waliondokewa/walifiwa na ndugu yao. kwa ufupi familia hii ina uwezo mkubwa tu na wanaishi...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Wakuu nimepita sehemu nikafanikiwa kuona Kipengele Cha Bunge akiongea Anne Kilango Malechela akidai Bara bara kwa wakulima wake wa Tangawizi. Mama kaongea kwa Jazba mpaka mwenyekiti wa Bunge...
1 Reactions
43 Replies
5K Views
There's this drunk standing out on the street corner, and a cop passes by and says, "What do you think you're doing?" The drunk says, "I heard the world goes around every 24 hours, so I'm waiting...
1 Reactions
3 Replies
942 Views
John was driving when a policeman pulled him over. He rolled down his window and said to the officer, "Is there a problem, Officer?" "No problem at all. I just observed your safe driving and am...
0 Reactions
3 Replies
915 Views
Nyani Ngabu ana masifa kishenzi. Lizzy ana mawenge Faiza Foxy ni mbishi, ukijaribu hata umueleweshe jambo atazidi kung'ang'ania Pdiddy ana kamtindo wa kupaste threads ndefuuuu kutoka...
0 Reactions
73 Replies
5K Views
Back
Top Bottom