JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
haya sasa...... inamakidogooo.... bana pumziiii kidogoooo.. Tafadhali naomba ufanye ninacho sema..... Narudia tena... inama kidogoooo....... gud..... bana pumzi tena kidogoooooo.... inamia tena...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Bwi
Old Bwi (nick name) is at the bar and he’s in one of his drink until everything is at forgotten stages. The barmaid [a good friend] continually tells him he’s had enough and should go home...
1 Reactions
0 Replies
742 Views
Jamani kuna kaka anakaribia miaka 45 anaishi kwao, anadai eti anataka kunioa. Nkamuuliza tutaenda kuishi wapi, ananiambia eti hapohapo kwao. Ameni upset ile mbaya.
0 Reactions
33 Replies
4K Views
Katika Gazeti Pendwa la Ijumaa toleo namba 679 lilinasa picha za mwanama mmoja ambaye jina lake lilidaiwa kuwa ni Tuma ambaye inasemekana kuwa ni mtoto wa kigogo akiwa amepiga picha chafu na...
0 Reactions
19 Replies
11K Views
wadau wa jf, kumekuwa na aina mbalimbali za magari kwa mfano, used na brand new, automatic na manual, ya mjapani, mchina, mfaransa, mmarekani, mjerumani na yale ya kibongo (nyumbu), na kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ha, ile thread iliyokuwa hapa imeenda wapi??
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna huu wimbo nikisikia redioni kwamba jamaa anaogopa kurudi nyumbani mapema kuepuka kelele za mkewe (VUVUZELA). Hivi kuna watu kweli wamefikia hatua hiyo inayopelekea mwenza ajicheleweshe...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Nlikua ndani ya daladala, tulipofika kwenye kituo fulani mateja wakazinguana na konda na kuanza kutukana tena matus ya nguoni....mama m1 karibu yangu akaanza kulalamika na kusema jamani sasa...
0 Reactions
1 Replies
974 Views
Maiti moja ilikuwa inaoshwa. Mara gafla ikacheka sanaaa. Mwoshaji akaiuliza Mbona unacheka sana unacheka nini? Maiti ikajibu unanitekenya bwana.
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Naiombea chupi ya mume wangu, naitakasa kwa damu yako anapotoka nyumbani katika nyumba hii, ivaliwe hapa na ivuliwe hapahapa tu, kama ataivua sehemu nyingine tofauti na nyumbani baba basi iwe ni...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Dada mmoja kutoka sehemu fulani alitembea na mchina mmoja ili apate mtoto wa kichina. Akapata mimba akajifungua mtoto wa kiume na bahati mbaya mtoto huyo akafariki. Kwenye mazishi ya mtoto...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mie mgeni naombeni uenyeji kwenye hili jamvi. Ahsanteni
0 Reactions
2 Replies
895 Views
Mi nashangaa serikali hii,eti kampeni kamata kamata vijana wala unga!kwani nani asiyekula unga nchi hii?rais anakula unga,mawasiri wanakula unga,wambunge wanakula unga,matajiri kwa masikini wote...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kitabu kina kurasa 240.Kila siku Tom anasoma nusu ya kurasa zilizobakia.(SWALI):Tom atamaliza kusoma hiki kitabu baada ya siku ngapi?
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wapenzi wote nawatakia weekend njema na maisha mema! wale wachakachuaji remember to use protection..! Lov u all
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Machine Diagnosis One day, Pete complained to his friend, "My elbow really hurts. I guess I should see a doctor." His friend said, "Don't do that. There's a computer at the drug store that can...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
A little boy came down for breakfast one morning and asked his grandma, "Where's Mom and dad? " She replied, "they're up in bed " So the little boy started to giggle and ate his breakfast and...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Babu mmoja alikuwa akivuka barabara,ghafla akagongwa na baiskeli akazimia,wasamalia wema wakamweka kando ya barabara,mpita njia akasema "mnunulieni maziwa "Gafla yule babu akasema na bagia za...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
On the recollection of so many and great favors and blessings, I now, with a high sense of gratitude, presume to offer up my sincere thanks to the Almighty, the Creator and Preserver. Thank You...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Nikiwa maeneo ya kimara_resort jana usiku nilijikuta nashuhudia vurumai moja matata.Mwanamke mmoja anayesadikika kula na shemeji yake alafu pia kukimbiwa na mumewe na kukimbilia Marekani alizua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom