JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mvuta bangi kavuta zake bangi...tena mchana kweupe. akawa anarudi nyumbani kumbe katika kutembea, mguu mmoja ukaingia mtaroni akawa anatembea hivohivo. Kwa hiyo mguu mmoja mtaroni mwingine...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ilitokea jana jioni mitaa ya tabata mbele kidogo ya bima, mambo yakawa kama hivi: Abiria: kondaaaa simamisha kwa mwarabu.. Konda: waarabu huwa hawanipe stimu kabisa sidhani kama itasimaa labda...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mswahili mmoja mvivu sana alikwenda kwa kinyozi, alipokaa tu kwenye kiti kinyozi akamuuliza unataka kunyolewa ndevu au nywele? Mvivu akajibu ndevu, kinyozi akamwambia inua kichwa basi, jamaa kwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Baba mmoja wa kichaga aliingia chumbani kwa watoto wake watatu wamelala wamewasha feni namba 5, akafoka na kuwaambia: "ati nini, nyie ni watatu na feni namba 5 kwanini msiweke namba 3?"
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jamaa Baghili Siku ya Sikukuu alienda kununuwa Mbuzi Kufika Bei aliyoambia kama kawaida yake ikabidi afanye juu chini ishushwe akapewa kwa Bei Rahisi sasa kufika kwa mchinjaji sasa alimtafuta...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Bodaboda ilipata ajali ya kuacha njia na kutumbukia kwenye mtaro. kilicho washangaza na kuwasikitisha wengine pia kufurahisha wapitanjia ni ule wimbo uliokuwa ukiimbwa na ile pikipiki ni ule...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1-speed angalau kilomita kumi kwa saa2-mlo mmoja kwa siku3-maji lita tano kila unapotembea 4-bukta ya dhalula ndani ya sulali au siketi5-uwe tayari kulala popote hata ukumbi wa disko6-usisahau...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
walikua ni wachekeshaji wazuri sana sijui vimepotelea wapi vipaji hv!!!ni mheshimiwa Pembe na mzee Senga
0 Reactions
5 Replies
5K Views
jamani wana JF! kuna jambo linanitiza sana hapa, kuna maduka yanayouza nguo hapa Mwenge maarufu kwa Boutique ukiingia maduka haya utakutana na vijana wa kiume age yao ni miaka 14-17 wanauza nguo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Fataki alimpa lift dada mmoja aliyekuwa ametoka church, kwa kuwa dada alikuwa amebeba biblia fataki alijua yule dada kaokoka. ndani ya gari Fataki kila akibadili gear anamgusa mapaja yule dada...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
(John):Wife anajifanya jasiri,lakini leo nimegundua anaogopa kitu gani. (Henry);Enhee,nambie umegundua nini? (John);anaogopa maji mpaka anaingia na yule bodyguard wangu James bafuni!
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Saidimu ana mbuzi kadhaa na Seleli ana mbuzi kadhaa. (i)Ukichukua mbuzi mmoja wa saidimu ukampa seleli,idadi ya mbuzi wa seleli itakuwa mara mbili ya idadi ya mbuzi wa saidimu. (ii)Lakini...
1 Reactions
5 Replies
5K Views
SOMA BARUA YAKE ALIYOANDIKA KUSEMA POSHO ZAKE ZIREKEBISHWE AKAUNTI NA ZIPELEKWE KIGOMA. ETI KIGOMA KATIKA MAENDEKE YAKE CJUI ALIMAANISHA MAENDELEO YAKE AU VIPI? JITAHDDDDDDD KUWA MAKIKI...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Ukiwa una drive gari yako kwa spidi ya mwanga(speed of light=3x10^8),then ukawasha headlights(taa za mbele) full,nini kitatokea kwa huo mwanga wa taa ulizowasha?
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwanafunzi mmoja alimuuliza mwenzie amejibu nini ktk mtihani? akamjibu sikuandika kitu nimeacha empty, jamaa akamwambia walimu watashtuka tumekopiana na mimi sikuandika kitu.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamaa yangu wa kipare alioa kwa ubakhili akaenda honeymoon peke yake.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
THIS IS THE ONLY TIME WE WILL SEE AND LIVE THIS EVENT Calendar for July 2011 July Sun Mon Tue Wed Thu Fri Sat 1 2 3...
2 Reactions
0 Replies
846 Views
  • Closed
Leo Spika ametangaza kuwa Waziri Mkuu na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni wana udhuru wa kutohudhuria kikao cha asubuhi. Waziri Mkuu alikaimu madaraka yake kwa Shamsi Vuai Nahodha. Mbowe...
0 Reactions
120 Replies
10K Views
YouTube - ‪Dad at Comedy Barn‬‏
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom